JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tumepeleka watalii Rio!

Kwa mara ya mwisho Tanzania kupata medali katika mashindano ya Olimpiki ilikuwa ni mwaka 1980 michezo hiyo ilipofanyika katika nchi ya Urusi ambapo Filbert Bayi na Suleiman Nyambui walipata medali za fedha. Katika mashindano hayo Bayi alitwaa medali hiyo kutoka…

Bunge linavyoliwa

Uchunguzi uliofanywa na JAMHURI umebaini kuwa wahusika kwenye ufisadi huo ni Naibu Katibu wa Bunge, Raphael Nombo; na Mkurugenzi Msaidizi wa Bunge (Utawala), Ndofi Merkion. Kiasi cha fedha wanachodaiwa vigogo hao ni Sh milioni 103 ambazo walilipwa kwa kigezo cha…

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 6

Rais asiachiwe zigo la rushwa MAADILI YA NYONGEZA KWA MAWAZIRI NA WAKUU WA MIKOA 50. Sehemu ya Nne ya Sheria inaweka masharti maalumu kwa mawaziri na wakuu wa mikoa. Wakuu wa wilaya hawakuhusishwa ingawaje wameorodheshwa kama viongozi wa umma. Maadili…

Meneja Pori la Mkungunero ashutumiwa

Meneja wa Pori la Akiba Mkungunero lililopo mkoani Dodoma, Johnson Msellah, anatuhumiwa kutumia vibaya madaraka yake pamoja na matumizi mabaya ya fedha za umma. Kaimu Mkurugenzi wa Mamlaka ya Usimamizi wa Wanyamapori Tanzania (TAWA), Martin Loiboki, amezungumza na JAMHURI na…

Mauaji, hukumu ya Mwangosi

Naandika makala hii muda mfupi baada ya kutoka Mahakama Kuu Kanda ya Iringa. Nimekuja hapa Iringa kusikiliza hukumu dhidi ya muuaji wa Mwandishi wa Habari, Daudi Mwangosi, aliyeuawa na askari Pacificus Cleophace Simon Septemba 2, 2012 akiwa kazini katika Kijiji…

Bunge kuna matatizo

Kwa wiki kadhaa tumekuwa tukiandika habari zinazohusu ufisadi, upendeleo na matumizi mabaya ya madaraka ndani ya Ofisi ya Bunge. Habari hizo zilipoanza kuchapishwa katika JAMHURI, haraka haraka Bunge likajitokeza kukanusha, ingawa kimsingi hakuna kilichokanushwa zaidi ya kuthibitisha kile tulichokiandika. Kuna…