JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ndugu Rais, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu!

Ndugu Rais, tafuteni kwanza ufalme wa mbingu, ya dunia mtayapata kwa ziada! Tangu kutangazwa kwa Septemba mosi, nchi imekuwa ni ya mijadala isiyokwisha huku wapofu wakionesha nguvu zao. Mnagombania kuwatawala waja wa Mwenyezi Mungu kwa kudhani mnaweza kwa nguvu zenu!…

Rais Magufuli, kughairi si kushindwa

Mheshimiwa Rais,   Nimechukua hatua hii ya kukuandikia waraka wa wazi nikiwa na kumbukumbu mbaya ya maafa yaliyotokea miaka 15 iliyopita. Januari 27, 2001 Chama cha Wananchi (CUF) kiliandaa maandamano ambayo Serikali ya wakati huo haikuyaridhia. Sote ni mashahidi kwamba…

Kusoma si kuelimika (1)

Serikali ya Awamu ya Tano sasa imekamilisha safu yake ya watumishi wa kuiendesha, Rais John Magufuli alichukua muda wa wiki/miezi kadhaa kabla hajateua wasaidizi wake na kuunda Baraza lake la Mawaziri. Baada tu ya kujenga Serikali yake kwa kuteua Mawaziri…

Mkaa: Hata misitu sasa inalia (1)

Siku chache zilizopita, Mtendaji Mkuu wa Wakala wa Misitu Tanzania (TFS), Profesa Dos Santos Silayo; na Mkurugenzi wa Mipango na Matumizi wa TFS, Mohamed Kilongo, wametangaza mpango kamambe wa kuratibu biashara na matumizi ya mkaa nchini. Taarifa ya wataalamu hao…

Yah: Kikulacho ki nguoni mwako kiongozi wangu, tambua hilo

Kuna wakati nilipata kuwa monita wa darasa langu miaka hiyo ya zamani, uongozi ule nilidumu nao kwa muda wa wiki moja hivi kabla sijatumbuliwa na mwalimu mkuu mbele ya wanafunzi wenzangu asubuhi ya paredi, niliahidiwa kupewa kazi nyingine na baada…

Kuonesha kisirani mazikoni, ni mwake?

Kwanza naungana na familia, ndugu na Watanzania wote katika kuomboleza msiba uliotufika wa kufiwa na mzazi wetu, ndugu yetu, rafiki yetu na kiongozi wetu mpendwa, Alhaj Aboud Jumbe Mwinyi, wiki iliyopita. Inna Lillahi Wainna Ilayhi Raajiuun. Mauti ni faradhi na…