JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ndugu Rais, nchi inawayawaya kwa kukosa busara

Ndugu Rais, mtikisiko uliosababishwa na ukuta wa Septemba mosi, umeitikisa nchi yetu vibaya! Nchi imetapatapa na kuyumbayumba na sasa nyufa zimetokeza! Ni ukweli kwamba tangu tupate Uhuru wananchi hawajawahi kushuhudia serikali yao ikitetemeshwa kwa hofu kama ilivyotetemeshwa kuelekea tishio la…

Malumbano ya ‘Tuepuke sumu hizi’

Nimebahatika kuletewa malumbano ya baadhi ya wasomaji wa makala yangu juu ya “Tuepuke sumu hizi” katika Jamiiforums. Mimi sielewi wasomaji hawa wanapotezaje muda kuoneshana nani kasoma nini, na nani hawezekaniki kitaaluma. Mimi nilijiandikia hali niionayo kimtazamo wangu. Watanzania kweli tuna…

Nimeziona barabara, hii ya Butiama ni janga!

Watanzania wangependa kuona kazi nyingi za ujenzi wa barabara zikifanywa na mandarasi wazalendo.  Rais John Magufuli, akiwa Waziri wa Ujenzi, alikuwa mstari wa mbele kuhimiza umoja, weledi na kujituma miongoni mwa makandarasi wazalendo ili waweze kufanya kazi ambazo kwa muda…

Yah: Mheshimiwa Rais Magufuli, hawa ndiyo Watanzania niwajuao

Anaamka asubuhi kama mbwa koko anayefikiria siku hiyo itaishaje na rizki yake iko miguuni mwake, ni sala tu ya Muumba wake kumuamsha akiwa na siha njema pasi na maradhi ya kumlaza kitandani. Ni Mtanzania mwenye haki zote za kibinadamu; ana…

Dhana pacha, busara na hekima

Busara na hekima ni maneno mafupi na mepesi kutamkwa na mtu yeyote. Lakini ni mapana na mazito katika kuyatambua, kuyahifadhi na kuyatumia kama nyenzo ya kumfikisha mtu kwenye malengo na makusudio yake kwa jamii. Maneno haya, kila moja lina herufi…

Nani atanusuru mchezo wa masumbwi?

Wadau wa mchezo wa masumbwi nchini, wametakiwa kuingilia kati na kutafuta njia sahihi za kuunusuru mchezo huo unaoelekea kupotea kutokana na malumbano yasiyokuwa na tija kati ya Baraza la Michezo Tanzania (BMT) na vyama vya michezo. Wakizungumza na JAMHURI kwa…