JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Sheria zinazolinda misitu zisimamiwe bila woga

Awali ya yote sina budi kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa zawadi ya uhai na kutuwezesha – wewe na mimi – kuishi hadi leo. Wengi walitaka wawe hai, lakini haikuwezekana; hivyo ni jukumu letu tunaoishi kumshukuru Mungu bila kikomo kutokana na rehema…

U-kinyonga na u-popo ni hatari

Sisi wanadamu tunajua sana viumbe hawa wawili – kinyonga na popo. Tunaishi nao. Kila kiumbe ana tabia na sifa maalumu zinazowatofautisha na wanyama au viumbe wengine. Kinyonga anajulikana sana kwa ile hali yake ya kujibadilisha badilisha rangi ya ngozi yake…

Jeshi la Polisi liundwe upya

Hivi karibuni kwenye gazeti hili tuliandika habari iliyohusu mtandao wa matapeli wa madini unaowahusisha polisi kadhaa jijini Dar es Salaam. Tukaeleza kwa kina namna polisi hao wanavyoshirikiana na matapeli wa madini kuwaibia wenyeji na raia wa kigeni kutoka mataifa mbalimbali…

Yah: Mheshimiwa Rais acha kutukatia mipenyo ya hela za dili

Inawezekana wengi wetu tulikuwa hatukuelewi wakati wa kampeni zako za kuutaka urais. Kuna wakati ulisema kabisa unataka kulala mbele na wapiga dili, sisi kwa umbumbumbu wetu tulidhani ni dili za mafisadi na siyo sisi wapiga dili ndogondogo. Baada ya kuapishwa,…

Silaha yetu umoja na amani

“Mwezi Julai 1959 wakati wa kushangilia siku ya Saba Saba, Rais wa Chama, Julius Nyerere, aliweza kutamka; “Silaha ya amani tuliyotumia; njia ya Katiba ya juhudi zetu; uwazi wa nia zetu na jinsi tulivyotoa madai yetu bila uoga, umeleta sura…

Michezo haihitaji siasa

Wadau wa mchezo wa riadha nchini wameombwa kuja na mbinu mbadala kama kweli wana nia ya dhati ya kufufua mchezo huo kutoka ngazi ya shule za msingi, sekondari hadi vyuo vikuu kuliko kuwaachia wanasiasa wasiokuwa na ufahamu wa michezo. Wakizungumza…