JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wachukie wachache ili wengi wafurahi (2)

Wiki iliyopita, nilisema Rais John Magufuli amedhamiria kurejesha heshima na wajibu wa Serikali kwa wananchi.  Nikasema hayo hayatawezekana endapo ataogopa lawama na hivyo kuruhusu ufisadi, rushwa, uzembe na udhaifu mwingine kwa sababu tu ya kuwafurahisha walionuna.  Bado naamini Rais ana…

Yah: Utii huu ni mwanzo wa mkuu kuheshimu utawala wa sheria

Kuna mtu mmoja aliniambia kuwa sasa hivi ukitaka kutukanwa tangaza kutoa rushwa kwa mtu yeyote, kuna watu waliokuwa wamezowea kupokea milungula kila siku na sasa hivi wanaogopa kama vile moto wa jehanam, hawataki kusikia kitu kiitwacho rushwa. Sikutarajia hata siku…

Mkulima ni uti wa maisha

Mimi si mkulima. Babu na baba yangu walikuwa wakulima. Kadhalika bibi na mama na hata leo baadhi ya ndugu, jamaa na marafiki zangu kule kijijini kwetu ni wakulima. Ndiyo ajira yao kuu inayowapatia riziki, mavazi na makazi. Wanasiasa na wanauchumi wanasema…

Tusipojihadhari, njaa yetu itatuangamiza – 2

Miongoni mwa jamii ya kimataifa, nchi inapojiuliza watu wangu watakula nini leo, basi kwa kiasi kikubwa inapaswa kujibu hilo swali yenyewe na kutafuta suluhisho yenyewe. Yanapotokea majanga yanayoathiri uwezo wa nchi kuzalisha chakula cha kutosha, upo utaratibu wa muda mfupi…

Namna ya kurasimisha biashara yako ili ukopesheke

Kurasimisha biashara kuna namna nyingi. Kufungua kampuni ni moja ya namna ya kurasimisha biashara. Kusajili jina la biashara nayo ni namna nyingine ya kurasimisha biashara.  Makala hii itazungumzia kusajili jina la biashara. Na hii ni kwa sababu hii ni njia…

Viongozi wa michezo, leteni mabadiliko

Wadau wa michezo hapa nchini, wametakiwa kuacha tabia ya kutoa pongezi pale timu inapofanya vizuri, badala yake waje na mbinu pamoja na mikakati ya kuhakikisha Tanzania inarudisha makali yake katika michezo ndani na nje ya nchi. Akizungumza na JAMHURI wiki…