JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mzimu wa Escrow waigawa Serikali

Mzimu wa malipo ya zaidi ya Sh bilioni 300 kutoka kwenye akaunti ya Escrow, zilizokuwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT) umeendelea kuigawa Serikali, baada ya baadhi ya maafisa wazito kutaka wamshauri Rais John Pombe Magufuli awaagize waliozichukua fedha hizo wazilipe,…

SSRA na kilio cha ‘Fao la kujitoa’

Mamlaka ya Usimamizi na Udhibiti wa Sekta ya Hifadhi ya Jamii (SSRA), imewataka wanachama wa mifuko ya hifadhi ya jamii kuachana na fao la kujitoa na badala yake iwe fao la kukosa ajira. Mkurugenzi wa Sheria wa SSRA, Onorius Njole,…

ATCL karibuni tena angani

Serikali imezindua ndege mbili za Kampuni ya Ndege ya Tanzania (ATCL) zinazotarajia kuanza kufanya safari zake katika mikoa mbalimbali nchini. Ndege hizo aina ya Q400 zimetengenezwa na kampuni ya Bombardier iliyoko nchini Canada. Baada ya jitihada za Serikali katika kuhakikisha…

Yatakayomkwamisha Rais Magufuli – 4

‘Uongozi ndiyo unaozaa utawala’   Mwalimu Julius Kambarage Nyerere alisema ili tuendelee tunahitaji vitu vinne – watu, ardhi, siasa safi na uongozi bora. Utandawazi umetuletea wimbo mpya unaosisitizia utawala bora. Wazungu wametupotosha kwa mara yanyingine, wametuaminisha kwamba tunaweza kuwa na…

Kampuni za mafuta kudhibitiwa

Januari, 2016 Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilikamilisha uanzishwaji wa Wakala wa Uagizaji Mafuta kwa Pamoja (Petroleum Bulk Procurement Agency- PBPA).  PBPA inatekeleza majukumu ya iliyokuwa kampuni binafsi ya kuratibu uagizaji wa mafuta ya petroli kwa pamoja (Petroleum…

Rais Magufuli Bukoba wanakutania

Nikiwa jijini Accra, Ghana katika toleo Na. 260 la Gazeti la JAMHURI, niliandika makala yenye kichwa hiki: “Poleni Bukoba, tuchunge wapigaji!” Hili ni toleo lililochapishwa Jumanne ya Septemba 20, 2016. Nilianza kupata wasiwasi kuwa huenda wakajitokeza watu wa kutumia janga…