JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika

Ijumaa hii ya tarehe 9 Disemba, Watanzania penye majaliwa tutaungana pamoja kuadhimisha miaka 55 ya Uhuru wa Tanganyika (Tanzania Bara). Siku ya kukumbuka kushushwa bendera ya kikoloni ya Waingereza na kupandishwa bendera ya Uhuru ya taifa jipya la Watanganyika. Ni…

Fursa kwa wabunifu chipukizi tasnia ya sanaa

Nimepata fursa hivi karibuni kushiriki katika hafla ya uzinduzi wa mradi wa atamizi ya sekta ya ubunifu katika nyanja za muziki, filamu, na mitindo iliyofanyika Dar es Salaam. Mradi huo, ambao unanuwia kunufaisha wadau wa tasnia ya sanaa waliopo ndani…

Ajali yateketeza kikosi

Wiki iliyopita familia ya soka duniani imepata pigo, baada ajali ya ndege  iliyosababisha vifo vya watu 81, wakiwamo wachezaji wa klabu ya Chopecoense ya nchini Brazil na kuacha simanzi kubwa Ndege iliyokuwa imebeba timu ya soka ya Brazil ilianguka wakati…

Prof. Ndalichako amvaa Makonda

Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, ameingia katika mapambano ya wazi na Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako kwa kumpa maagizo, ambayo ameyakataa. Makonda amemwagiza Waziri Prof. Ndalichako asiwasikilize wazazi wa wanafunzi wanaosoma…

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 23

Kaula, Dk. Mlingwa, rushwa ‘iliwapofusha’   Zabuni hizo zilipokelewa na kufunguliwa katika ofisi za Halmashauri Kuu ya Zabuni tarehe 26 Juni, 1991 na baadaye kukabidhiwa Wizara ya Ujenzi kwa uchambuzi na tathmini. Zabuni zilifanyiwa uchambuzi na tathmini na wahandisi wa…

Unyayasaji kingono washika kasi Kilimanjaro

Matukio ya watoto  kunyanyaswa kingono katika mji wa Moshi, yameibuka kwa kasi ya kutisha  na kutishia usalama wa watoto, huku wengi wao wakiwa ni wanafunzi wa shule za msingi. Udhalilishaji huo unatokea huku wazazi wakitupiwa lawama kwa kushindwa kutoa ushirikiano…