JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Yah: Hii ni ndoto mbaya sana lakini sina budi kuikubali

N awaza sana na huwa naona ni kama hadithi au ndoto iliyoisha muda wake, naona kama kumekucha ni asubuhi na mapema najinyoosha kitandani, ni ndoto mfu, ndoto ya mchana nikiwa macho natembea, ndoto ya kweli lakini alinacha, kuna uhalisia zaidi…

Kutii mamlaka tatu ni wajibu

Nakumbuka nilipokuwa mtoto na baadaye kijana, nilielezwa na kufundwa na wazazi na walimu wangu shuleni niwe na ulimi fasaha na niogope, nitii na niheshimu mamlaka kuu tatu duniani, ili niweze kuchukuana na mamlaka hizo pamoja na walimwengu wanao nizunguuka. Hadi…

Fidel Castro katoa mchango muhimu Afrika; tuisome historia

Ukisikiliza sehemu kubwa ya maoni ya vyombo vya habari vya nchi za Magharibi juu ya kiongozi wa Cuba Fidel Castro, utaafiki kuwa hana mchango wowote wa maana kwa binadamu wenzake. Inahijati kujikumbusha kidogo sehemu ya historia ya ukombozi wa Bara…

Kilichomng’oa bosi Jeshi la Magereza

Aliyekuwa Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza nchini, John Minja, hakuomba kujiuzulu kwa ridhaa yake, JAMHURI limethibitishiwa. Badala yake, kiongozi huyo amefikia hatua hiyo baada ya kuwapo tuhuma kadhaa za matumizi mabaya ya madaraka zinazomkabili. “Ziara ya ghafla ya Rais…

RIPOTI YA RUSHWA YA JAJI WARIOBA – 24

Viongozi Z’bar wawajibishwe (a) ADUCO INT. B.V. Ushahidi unathibitishakuwepo kwa mizengwe katika kupatiwa kazi kampuni ya UDUCO INT. B.V. kwamba licha ya Waziri kukubaliana na Katibu Mkuu wa Wizara awali kuwa kutokana na zabuni za ADUCO kuwa juu zaidi ya…

Bomu la Dangote

Wakati joto likizidi kupanda kuhusu hatma ya kiwanda cha saruji cha Dangote kilichoko Mkoani Mtwara, JAMHURI limebaini kuna mgogoro mkubwa wa uongozi ndani ya kiwanda hicho, lawama zikielekezwa kwa serikali. Mmoja wa maafisa wa kampuni ya Dangote, ambaye amezungumza na…