JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Ukosefu wa ajira ni matokeo ya akili zetu

Mjadala wa ukosefu wa ajira unazidi kushamiri. Ndiyo, tatizo la ajira lipo na bila shaka litaendelea kuwapo; si kwa Tanzania tu, bali kwa mataifa mengi duniani. Nchi kama ilivyokuwa Libya, kwao tatizo la ajira lilikuwa dogo. Hali hiyo ilitokana na…

Yah: Niamshwe kukicha kama kweli nimelala

Inawezekana huwa sipati usingizi, ninaota huku nikiwa macho makavu lakini naamini ninachokiona katika njozi zangu kina nasaba na ndoto ya maisha halisi yanayonigusa mimi na Watanzania wengine wengi. Hii ndiyo Tanzania hata kama ni ya ndoto lakini ndiyo Taifa langu…

Chama ni mali ya wanachama

Mimi ni miongoni mwa baadhi ya wananchi wanaotoa heko na kongole kwa Mwenyekiti wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Rais John Pombe Magufuli, na wajumbe wa Halmashauri Kuu ya CCM (NEC) kwa kufanya mabadiliko ya muundo na uongozi wa chama hicho…

Nyenzo muhimu ya kuongeza kasi ya maendeleo ni kurudi kijijini

Katika siku za hivi karibuni, nimekuwa nakumbuka wimbo niupendao wa gwiji la muziki, Ramadhani Mtoro Ongala ‘Dk Remmy’, ‘Narudi nyumbani’. Aliimba kuwa anarudi Songea, anarudi Mlale, anarudi kijijini kwa sababu maisha ya Dar es Salaam yamemshinda, akikiri kuwa nyumbani ni…

Siku sita za kupanda Mlima Kilimanjaro

Wakati Rais John Magufuli akikagua gwaride la maadhimisho ya miaka 55 ya Uhuru, kundi la wanahabari, askari wa Jeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) pamoja na wanadiplomasia walikuwa kwenye kilele cha Mlima Kilimanjaro. Safari hiyo ilianza mapema Desemba…

Waamuzi soka wajengewe uwezo

Soka la Tanzania linakabiliwa na changamoto kadhaa ikiwamo tatizo la waamuzi ambalo limekuwa likilalamikiwa na wadau na wanachama wa klabu zinazoshiriki Ligi kuu ya Tanzania Bara. Wakizungumza na JAMHURI kwa nyakati tofauti mara baada ya kuhitimu mafunzo ya muda mfupi…