JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Elimu ni ufumbuzi wa changamoto za uongozi, maendeleo

Tunaposikia kauli za viongozi kuwa uongozi wa nchi ni changamoto kubwa sana, siyo rahisi kwa wengi wetu kuelewa. Haihitaji kufanya utafiti wa kina kukubali ukweli huo. Uongozi ni mzigo mkubwa, alisema Mwalimu Julius Nyerere. Akifafanua, alisema rais anapokuwa pale Ikulu…

Faru John amtesa Prof. Maghembe

Wakati Waziri wa Maliasili na Utalii, Prof. Jumanne Maghembe, akiwatuhumu baadhi ya wadau wa sekta ya utalii kwamba wamejipanga kuhakikisha wanamng’oa katika wadhifa wake kupitia sakata la Faru John, wadau wamemtaka asiwe mfamaji. Akizungumza na JAMHURI hivi karibuni, Prof. Maghembe…

Msaka majangili ateswa

Siku 12 baada ya kumwandikia barua nzito, Katibu Mkuu Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Peter Mtani, amekamatwa na kuteswa kwa siku saba mfululizo kabla ya kuachiwa wiki iliyopita bila masharti. Mtani  amekuwa afisa wanyamapori daraja la pili,…

NHC yakaidi amri ya Mahakama

Uongozi wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC) unatuhumiwa kukaidi amri ya Mahakama ya Rufani Tanzania, iliyotolewa miaka 13, iliyopita ikiwaamuru kumrudisha katika nyumba au kumlipa afisa mstaafu wa Serikali ya China, Li Jianglan, baada ya kumwondoa bila kufuata taratibu….

Moto wawaka Tunduma

Serikali imewasha moto wa aina yake katika Mji wa Tunduma baada ya kuwapa wiki moja wananchi waliojenga katika eneo la mpaka (no man’s land) kuhamisha mali na kuvunja nyumba zao kwa hiyari, JAMHURI linathibitisha. Uamuzi wa Serikali umekuja wiki moja…

Rais Magufuli usimwamini kupita kiasi Dk. Mpango

Leo ni wiki ya kwanza ya mwaka 2017. Wiki iliyopita, Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Philip Mpango, ametoa mwenendo wa hali ya uchumi nchini, akisema Taifa halina mdororo wa uchumi. Ametoa takwimu kuwa kwa sasa uchumi unakua kwa asilimia…