JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Kinyang’anyiro cha Pembe ya Afrika

DJIBOUTI CITY, DJIBOUTI Wakati dunia ikiwa inahangaika kupambana na janga la Corona, kuna mambo yanaendelea kimyakimya ambayo yanaweza kubadilisha mahusiano na muonekano wa nchi zilizo katika Pembe ya Afrika na hata Afrika Mashariki. Kinachoendelea katika eneo hilo hakina tofauti sana…

Mgogoro Mabangu Mining, wananchi bado unafukuta

Kampuni ya Mabangu Mining ya Mbogwe, mkoani Geita imekanusha kununua mashamba ya wananchi wa Kijiji cha Nyakafuru, JAMHURI limeelezwa. Awali, wananchi wa kijiji hicho walikuwa wakiilalamikia Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya wakidai imezuia gawio la asilimia saba ya…

Jamii iamrishe mema, ikataze maovu

Matendo na miamala yote itendwayo duniani inagawanyika katika makundi mawili ya mema na maovu.  Kila nafsi imepewa uwezo wa kuyajua mema na maovu kabla ya kusomeshwa au kuambiwa na mwingine, kwani tayari ilishajengewa uwezo wa kuyajua mema na maovu kama…

HADITHI; Maisha baada ya chuo – (3)

Katika toleo lililopita tuliishia katika aya isemayo: “Tumuachie Mungu, Paul ni mtu anayejitambua, kama yuko hai atakuja,’’ alisema baba yake Paul, japokuwa kauli hiyo  ilikuwa  na hisia ya kukata tamaa ndani yake, akihisi mwanae pengine alikuwa amekufa au ametekwa na…

King Kiki naye yupo kitandani

Kikumbi Mwanza Mpango, maarufu kwa jina la King Kiki au Bwana Mukubwa, kwa sasa haonekani majukwaani kutokana na maradhi ya uti wa mgongo yanayomsumbua kwa muda mrefu. Taarifa hii inakuja wakati mkongwe mwingine wa muziki wa dansi nchini, Hassan Bitchuka,…

Vijana na mapinduzi ya Tanzania – (2)

Narudia kutamka kwamba vijana ni nguvukazi mahali popote. Ni kundi kubwa kuliko la wazee katika kufanya kazi.  Ni kundi jipya lenye fikra na mawazo mapya, fahamu pevu, imara na jasiri katika kupambana na vikwazo vya uchumi au mambo ya dunia….