JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

RPC aingilia kati ubabe wa DC

Kamanda wa Polisi (RPC) Mkoa wa Tabora, Sofia Jongo, ameingilia kati ubabe wa Mkuu wa Wilaya ya Tabora, Komanya Kitwala, akimtaka kufuata sheria katika uongozi wake. Hayo yamejitokeza takriban mwezi mmoja tu baada ya JAMHURI kuripoti taarifa za DC kutumia…

GePG inavyoyapaisha mapato ya Serikali

Mfumo wa ukusanyaji wa mapato ya Serikali yasiyokuwa ya kodi umezidi kuimarika kuthibitisha umuhimu wake katika kuongeza mapato, pongezi kwa Wizara ya Fedha na Mipango kwa kuanzisha Government e-Payment Gateway kwa kifupi GePG. Katika kuhakikisha kuwa ukusanyaji wa mapato ya…

Sekta binafsi ipitie upya tozo

Kwa muda mrefu sasa kumekuwa na kauli kuwa Tanzania ni ghali sana katika Sekta ya Utalii kwa maana ya gharama anazotumia mtalii kuanzia safari ya anakotoka hadi gharama atakazotumia awapo nchini. Kwanza, ieleweke kuwa gharama hizi zitumiwazo na watalii zimegawanyika…

Mwisho wa Djodi na Azam FC hautishi sana

Nilisoma mahali Azam FC walivyoachana na fundi wao wa mpira raia wa Ivory Coast, Richard Djodi. Richard ni fundi kweli kweli, mpira ukiwa mguuni mwake hautamani autoe haraka. Lakini namba zimemhukumu. Azam FC wamemuonyesha mlango ulioandikwa Exit. Soka la kileo…

Wananchi tuchukue hadhari, COVID-19 bado tunayo

Ugonjwa wa COVID-19 ulioanzia nchini China mapema mwaka jana na kusambaa duniani kote, unaendelea kugharimu maisha ya walimwengu wengi. Tanzania, kama yalivyo mataifa mengine ya Afrika na dunia, imeshaonja machungu ya uwepo wa maradhi haya hatari.  Mwaka jana shule na…