JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tunaufungaje mjadala wa Mtaka vs Prof. Ndalichako?

Na Joe Beda Rupia Elimu elimu elimu. Ndiyo. Elimu. Inatajwa kuwa ufunguo wa maisha. Lakini kikubwa zaidi elimu ndiyo silaha dhidi ya ujinga. Ujinga. Moja miongoni mwa mambo matatu yanayotajwa na Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere, kama maadui wakuu…

Vigogo 12 wachunguzwa vurugu Afrika Kusini

JOHANNESBURG, AFRIKA KUSINI Idara ya Upelelezi nchini Afrika Kusini imetangaza kuwa imewagundua watu 12 waliohamasisha maandamano yaliyosababisha vurugu na uporaji katika majimbo mawili makubwa nchini humo. Vurugu hizo zilianza baada ya Mahakama ya Katiba kumhukumu rais wa zamani wa nchi…

NGO yapinga Zimbabwe kupeleka tembo China

HARARE, ZIMBABWE Shirika lisilo la kiserikali nchini Zimbabwe limeishitaki serikali ya nchi hiyo kupinga mipango ya kusafirisha wanyama aina ya tembo kwenda China. NGO hiyo, Advocates4Earth, inaituhumu China kwa kuwasababishia tembo madhila kwa kutowapatia huduma stahiki. Katika kesi iliyoifungua katika…

Kulikoni bei ya pombe ishuke?

DAR ES SALAAM Na Dk. Felician Kilahama Awali ya yote, ninamshukuru Mwenyezi Mungu kwa amani tuliyonayo nchini. Hakika Mungu ni mwema.  Neno la Mungu linatutahadharisha tuwe makini (Luka 21: 34(a): “Basi jihadharini mioyoni mwenu isije ikalegea na ulafi, na ulevi…

WADUNGUAJI HATARI KUMI DUNIANI

Rob Furlong (7) Anayeshikilia namba saba katika orodha ya wadunguaji kumi hatari duniani ni Rob Furlong. Huyu alikuwa ni koplo katika jeshi la Canada. Anashikilia kuwa mdunguaji aliyeweza kumlenga mtu na kumpiga katika umbali mrefu kuliko wadunguaji wengi. Rekodi zake…

Profesa Mkenda tanzua  hili umkomboe mkulima

Na Theonestina Kaiza-Boshe Kwa muda mrefu sasa Tanzania imekuwa ikiimba wimbo kuwa ‘kilimo ni uti wa mgongo wa uchumi wa taifa’.  Na kwa nyakati mbalimbali serikali imetengeneza sera na kaulimbiu mbalimbali kuchochea dhana hiyo ili kuboresha matokeo. Kuna wakati serikali…