JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Wamfunda Makamu wa Rais Dk. Mpango

*Mawaziri wakuu wastaafu wamtaka asitoe matamko *Katibu Mkuu mstaafu CCM asema watampa somo vikaoni *Profesa asema ni matokeo ya kuua Kivukoni, IDM na Monduli *Jaji aonya matamko ni tanuri la migogoro, kutomheshimu Rais Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Wiki…

Vigogo watafuna fidia za wananchi

TUNDURU Na Mwandishi Wetu Wananchi zaidi ya 400 wa Tunduru mkoani Ruvuma wanaulaumu Wakala wa Barabara (TANROADS) Mkoa wa Ruvuma kwa kuhujumu fidia walizostahili kulipwa baada ya kupisha mradi wa ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami. Wananchi hao wanawalaumu…

Kesi ya Sabaya yapamba moto

ARUSHA Na Hyasinti Mchau Kesi ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai ole Sabaya, inaingia katika wiki ya mwisho ya kusikilizwa mfululizo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Arusha, mbele ya Hakimu Mkazi Mwandamizi, Odera Amuru. Tayari mashahidi kadhaa wamekwisha…

CHANJO YA CORONA Samia, Lissu wawatoa hofu Watanzania

*Lissu: Kauli za akina Gwajima zilikuwapo miaka 100 iliyopita *Adai ni upotoshaji wa sayansi ya tiba unaofunikwa na msalaba *NIMR yasema majaribio ya chanjo yalianza kwa wanyama NA WAANDISHI WETU Siku chache baada ya Rais Samia Suluhu Hassan kuzindua chanjo…

Ally Niyonzima ameachwa Azam!

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Klabu ya Azam FC ya Dar es Salaam wanakifanyia marekebisho kikosi chao. Wanasajili kila uchwao. Licha ya kufanya usajili mkubwa wa mastaa mbalimbali, lakini pia wameachana na baadhi ya mastaa.  Mmoja wa mastaa walioachana…

LUIZA MBUTU… ‘Kizizi’ cha Twanga Pepeta

TABORA Na Moshy Kiyungi Miongoni mwa wasanii wa kike waliowahi kufanya makubwa enzi za muziki wa dansi nchini na kuwavutia wengi, ni Luiza Mbutu.  Lakini kabla yake wamewahi kuvuma wanamuziki kadhaa wa kike maarufu kama akina Tabia Mwanjelwa, Asia Darwesh ‘Super…