JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Benki yahukumiwa kwa kumwibia mteja

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya Biashara imeiamuru EcobankTanzania Limited kumlipa mteja wake zaidi ya Sh milioni 100 baada ya kukutwa na hatia ya ‘kukwapua’ takriban Sh milioni 66 kutoka kwenye akaunti yake. Hukumu…

Gwajima, Polepole, Silaa wazidi kubanwa mbavu

DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Mienendo ya wabunge wa Chama Cha Mapinduzi (CCM), Askofu Josephat Gwajima (Kawe), Jerry Silaa (Ukonga) na Humphery Polepole (kuteuliwa) inazidi kumulikwa. Kumulikwa kwa mienendo hiyo hasa kwa Gwajima na Silaa kunatokana na kuadhibiwa Jumanne…

Rais Mwinyi achukua uamuzi mgumu Z’bar

ZANZIBAR Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema serikali imefanya uamuzi mgumu wa kuziuza meli zote za Shirika la Meli la Zanzibar (Shipco). Akizungumza wakati wa majumuisho ya ziara yake…

Kamati ilete majibu utitiri tozo za mafuta

Msemaji Mkuu wa Serikali, Gerson Msigwa, amesema kamati iliyoundwa kuchunguza mfumko wa bei ya mafuta nchini kati ya mwezi Julai, Agosti na Septemba, itatoa taarifa yake Septemba 16, 2021. Kamati hiyo iliundwa Septemba 2, 2021. Katika hili, ninadhani tunakwenda kufanya…

Wizara ya Afya ipate uongozi mpya

Albert Einstein, mmoja wa binadamu wenye akili za kiwango cha juu katika karne ya 20, alipata kusema: “We cannot solve our problems with the same thinking we used when we created them.” [Hatuwezi kutatua matatizo yetu kwa kutumia mawazo yale yale tuliyotumia…

Taliban, waasi watwangana kudhibiti ngome ya mwisho 

PANJSHIR, AFGHANISTAN  Wanamgambo wa Taliban wametafuna ng’ombe mzima ila mkia unataka kuwashinda. Mkia unaotaka kuwashinda upo katika ngome ya waasi iliyopo katika Mkoa wa Kaskazini wa Panjshir unaozungukwa na milima na mabonde.  Waasi wa Panjshir wameamua kupigana kufa au kupona…