JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mafisadi wajipanga

*Ni vigogo wazito serikalini, waanza figisu ujenzi wa reli ya SGR *Washirikiana na wazabuni wa nje kuhujumu ‘Lot 3’ na ‘Lot 4’ *Waanzisha kundi wakijiita wazalendo, latajwa ni fedha mbele *Kenya walipigwa bilioni 18.4 kila kilomita, wailengesha Tanzania DODOMA Na…

Pazia urais 2025 lafungwa

*Ameamua kuvunja kikombe, wenye nia na urais wasubiri hadi 2030 *Queen Sendiga: Wanawake tukikosea 2025 tutasubiri kwa miaka 100 *Dorothy Semu ataka kwanza awajengee wanawake uwezo kiuongozi DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati ndoto za kugombea urais mwaka 2025…

Polisi walikoroga

NA MWANDISHI WETU SHINYANGA Shinikizo linawekwa kwa Jeshi la Polisi Wilaya ya Bukombe mkoani Shinyanga kumchukulia hatua za kisheria mwalimu anayetuhumiwa kumuua mkewe ambaye pia ni mwalimu, kisha ‘kuigiza’ kuwa amejinyonga. Katika kibali cha mazishi, inathibitishwa kuwa chanzo cha kifo…

Polisi msikamate kabla ya upelelezi

Na Deodatus Balile, Dodoma Kwanza ninaomba kuwashukuru wasomaji wangu kwa mrejesho mkubwa mno kutokana na safu hii ya SITANII kwa makala niliyoiandika wiki iliyopita.  Katika makala ya wiki iliyopita nilimwomba DPP kutumia mamlaka yake ya kisheria kuiondoa mahakamani kesi inayomkabili…

Waziri Ndumbaro asikubali kutishwa

Maandiko Matakatifu ya dini zote yameeleza bayana jinsi Mwenyezi Mungu alivyoumba ulimwengu na viumbe hai. Yaliyoandikwa katika vitabu hivyo ni ya manufaa kwa wanaoamini, pia kwao wasioamini uwepo wa Mungu. Tunasoma katika Qur’aan Tukufu, Sura ya 55 (Surat Ar-Rahmaan), Aya…

Wananchi, madaktari Mtwara wafurahia huduma za madaktari bingwa wa MOI

MTWARA NA AZIZA NANGWA Wananchi mkoani Mtwara wamesema kutokana na wimbi kubwa la ajali za barabarani hasa zinazotokana na pikipiki na magari, wanaona kuna umuhimu wa kuwa na huduma za madaktari bingwa wa mifupa kwenye maeneo ya vijijini, JAMHURI limeambiwa….