JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Simba, Yanga wapambana kanisani

DODOMA Na Mwandishi Wetu Dakika 90 za pambano la Ngao ya Jamii kati ya Simba na Yanga la Septemba 25, mwaka huu halikuishia Uwanja wa Benjamin Mkapa, Dar es Salaam kama ilivyodhaniwa. Pambano hilo lilihitimishwa kwa aina yake siku iliyofuata,…

Sababu Happy, Beka kutengana zaelezwa

DAR ES SALAAM Na Regina Goyayi Wimbo ‘Nimpende’ wa msanii Ibra unatajwa kuwa sababu ya kutengana kwa wapenzi wawili, Happy Reuter na Beka Flavour. Akizungumza na JAMHURI jijini Dar es Salaam, msanii wa filamu na michezo ya kuigiza, Happy, anasema…

Wakati umefika Serikali  imalize kilio cha wazee 

Umoja wa Mataifa (UN) umeitenga Oktoba Mosi ya kila mwaka kuwa Siku ya Wazee Duniani, ambapo mataifa mbalimbali huiadhimisha kwa namna tofauti, ikiwamo kukumbushana haki za wazee. Kaulimbiu ya siku hii kwa mwaka huu ni ‘Safari ya kuzeeka kwa usawa’,…

‘Hii ni awamu ya matendo makali’

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Rais wa Awamu ya Sita, Samia Suluhu Hassan, ameendelea kufanya mabadiliko ya uongozi katika ngazi mbalimbali, lengo likiwa ni kuleta tija katika harakati za kuwahudumia Watanzania kuleta maendeleo na ustawi wa jamii. Tangu…

Idadi ya viboko yazua balaa

KATAVI Na Walter Mguluchuma Kila msiba una mwenyewe. Msemo wa wahenga unaolenga kuweka msisitizo katika umiliki wa suala lolote lile; liwe baya au zuri. Kupuuza msemo huu na mingine kadhaa iliyobeba ujumbe mzito ni kujitakia balaa na aghalabu, ni kujicheleweshea…

Benki zaagizwa kuboresha huduma kwa akina mama

DODOMA Na Costantine Muganyizi Serikali imezipongeza benki zenye utaratibu maalumu wa kuwahudumia wanawake nchini ikisema kufanya hivyo si tu kunawapa ahueni ya maisha akina mama nchini, bali pia una tija na mchango mkubwa katika ujenzi wa taifa. Pia utaratibu huo…