JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

NMB wamtia umaskini mstaafu

DAR ES SALAAM Na Alex Kazenga Uzembe unaodaiwa kufanywa na Benki ya NMB Makao Makuu umesababisha kushindwa kuondoa majonzi kwa mkunga mstaafu, Yustina Mchomvu, aliyetapeliwa fedha zake za mafao. Fedha za mjane huyo mkazi wa Msindo, Same, mkoani Kilimanjaro, ziliibwa…

Maono ya Baba wa Taifa kuhusu wanawake

DAR ES SALAAM Na Anna Julia Chiduo – Mwansasu Napenda kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa kunijalia tena kuandika kwenye Gazeti letu la JAMHURI katika kumbukizi ya kifo cha Baba wa Taifa letu, Mwalimu Julius Kambarage Nyerere, kilichotokea miaka 22 iliyopita, Oktoba…

Vigogo wanavyotafuna nchi

DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Vigogo 456 wakiwamo marais wastaafu na waliopo madarakani, mawaziri wakuu wa zamani, mabalozi, wauzaji wa dawa za kulevya, mabilionea, wasanii na wana michezo maarufu, wafalme, wanasiasa na viongozi waandamizi serikalini katika nchi 91 wamebainika…

Tumuenzi Mwalimu kwa kusapoti  kampeni ya Samia ya maendeleo

Wakati taifa likiwa katika wiki ya maadhimisho ya kumbukumbu ya miaka 22 ya kifo cha Baba wa Taifa Mwalimu Julius Nyerere, Rais Samia Suluhu Hassan amezindua kampeni ya maendeleo na mampambano dhidi ya UVIKO-19. Ni kampeni ya aina yake itakayodumu…

Soka la wanawake limenoga

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Timu ya taifa ya soka ya wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, imetwaa ubingwa wa Michuano ya Shirikisho la Vyama vya Soka Kusini mwa Afrika (COSAFA), baada ya kuichapa Malawi 1-0 kwenye mchezo wa fainali…

Mkurugenzi MOI amfurahisha Majaliwa

LINDI Na Aziza Nangwa Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amempongeza Mkurugenzi Mtendaji wa Taasisi ya Mifupa Muhimbili (MOI), Dk. Respicious Boniface, kwa kuwasogezea huduma za kibingwa wakazi wa mikoa ya kusini. Akizungumza katika ziara yake mkoani Lindi alikotembelea Hospitali ya St….