JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mabadiliko tabianchi, hatima ya kilimo chetu

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi  Tanzania inajulikana kuwa ni nchi ya wakulima na wafanyakazi. Alama katika bendera ya TANU na baadaye CCM ni jembe na nyundo. Alama ya jembe inawakilisha wakulima na nyundo inawakilisha kundi la wafanyakazi katika…

Mfumo wa uchumi, dhana ya kukosekana kwa ajira 

KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Kumekuwa na mjadala kuhusu tatizo la ajira hapa nchini. Ni mjadala wenye sura nyingi namna unavyojadiliwa. Taarifa ya Uchumi ya Mwaka 2018 inasema kila mwaka wahitimu wanaomaliza elimu ya chuo kikuu ni zaidi ya laki nane…

Benki yamfitini Mzanzibari

*Ilikataa kumwongezea mshahara, akaomba kazi CRDB akapata *Ilipobaini amepata kazi ikaahidi kumlipa mara mbili asihamie huko *Alielekea kukubali, akabaini ni danganya toto, akathibitisha kuondoka *Utawala wakafanya mbinu, wakamfukuza kazi kwa kosa la kusingiziwa Na Mwandishi Wetu, Zanzibar Benki moja kubwa…

Membe apigilia msumari

‘Katiba mpya, mgombea binafsi havikwepeki’ DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Kachero mbobezi, Bernard Membe, anasema hakuna wafanyabiashara walioumizwa na Serikali ya Awamu ya Nne ikilinganishwa na Serikali ya Awamu ya Tano. Anazungumzia mwenendo wa utawala wa Awamu ya Nne…

Siri hadharani

*Kampuni iliyoghushi, ikafungiwa yaelekezewa ulaji *Yakaribia kupewa zabuni nono ya Sh bilioni 440 *Ni mkopo wa maji utakaolipwa na Watanzania NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Wizara ya Maji imebariki kampuni kutoka nchini India isiyo na sifa kwa mujibu wa…

Huyu Bernard Membe vipi?

DAR ES SALAAM Na Dk. Boniphace Gaganija Kwa mfululizo, matoleo mawili ya Gazeti pendwa la JAMHURI, Bernard Membe, amekuwa akiwaelezea Watanzania chuki yake dhidi ya Serikali ya Awamu ya Tano na CCM kwa kipindi hicho. Swali langu ni je, hivi…