JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Polisi wachunguza madai ya Mbunge

MBOGWE Na Antony Sollo Polisi mkoani Geita wameanza uchunguzi wa tuhuma zilizotolewa bungeni wiki chache zilizopita kuwa maofisa madini mkoani hapa wamewaua kikatili watu sita. Tuhuma hizo zilitolewa bungeni jijini Dodoma na Mbunge wa Mbogwe, Nicodemus Maganga, akidai kuwa mmoja…

Sauli, New Force wanachezea sharubu za Sirro

Dar es Salaam Na Joe Beda Rupia Simba ni mmoja wa wanyama wakali sana. Si sahihi hata kidogo na ni hatari sana kumchezea au kumfanyia masihara mnyama huyu mla nyama. ‘Kuchezea sharubu za simba’ ni hatari. Au tuseme haiwezekani kabisa!…

FEI TOTO… Muda sahihi, umri sahihi, wakati sahihi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Yupo mchezaji mmoja wa Tanzania kwa sasa anayenivutia. Bila shaka huwavutia mashabiki wengi wa soka nchini. Mchezaji huyu anaitwa Feisal Salum Abdallah. Inasemekana kwamba ni bibi yake ndiye aliyeanza kulifupisha jina lake na kumuita…

‘Riadha itumike kuimarisha uhusiano’

SERENGETI Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Mary Masanja, amesema michezo ina nafasi kubwa ya kuimarisha uhusiano na ujirani mwema miongoni mwa wadau wa utalii nchini. Akizungumza baada ya kushiriki mbio maalumu za Serengeti Safari Marathon wiki…

Deni la taifa, mgawo wa maji, umeme

Na Deodatus Balile, Bukoba Mwezi mmoja uliopita niliandika makala iliyoamsha hisia katika viunga vingi vya nchi hii. Nilizungumzia ukuaji wa deni la taifa.  Nilitumia takwimu za Benki Kuu kukokotoa ukuaji wa deni na kuonyesha kuwa limefikia Sh trilioni 78 sasa. …

Kukatika umeme ni hujuma?

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam Ni ukweli usiopingika kwamba kumekuwa na tatizo la mgawo wa umeme katika maeneo mbalimbali yaliyo katika Gridi ya Taifa katika siku za karibuni. Kwa mujibu wa Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco),…