JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Upinzani ndani ya ‘upinzani’ hauwezi kuing’oa CCM

DODOMA Na Javius Byarushengo Chakula hata kiwe kitamu kiasi gani, kikiliwa kwa muda mrefu, tena mfululizo, hukinai na kuhitaji chakula kingine. Wali ni chakula kikuu Tanzania na kinapendwa na wengi, lakini ajabu ni kwamba wali ukiliwa mfululizo asubuhi, mchana na…

Siri ya kukimbiwa baada ya kung’atuka

Tumemsikia aliyekuwa Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova, akilalamika kuwa baada ya kung’atuka marafiki hawaonekani! Baada ya kustaafu ndiyo ametambua kuwa kumbe baadhi ya marafiki walikuwa ni marafiki wa nafasi aliyokuwa nayo, na kamwe hawakuwa…

Wasudan waukataa utawala wa kijeshi

Na Nizar K Visram Mwaka 2019 wananchi wa Sudan waliandamana kote nchini mwao wakimkataa Rais Omar Hassan Ahmad al-Bashir aliyetawala kwa muda wa miaka 30. Polisi walitumia silaha na raia wengi waliuawa.  Mwishowe jeshi likalazimika kumuondoa Bashir na kumweka chini…

Tufikiri upya kukabili ajali za barabarani

KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Ajali za barabarani bado ni tatizo la muda mrefu, limegharimu maisha ya Watanzania wengi. Hali hiyo imesababisha kuwa na Wiki ya Usalama Barabarani, wadau wanakutana na kujadili namna ya kupunguza ama kuziondoa kabisa.  Kila mwaka Tanzania…

JWTZ kiboko

Dar es Salaam Na Aziza Nangwa Mkuu wa Majeshiya UlinziTanzania,Jenerali Venance Mabeyo, ameyataja mafanikio ya Jeshi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) liliyoyapata tangu lianzishwe Septemba Mosi, 1964. Mafanikio hayo ameyataja mjini hapa wiki iliyopita akitoa taarifa ya changamoto na mwelekeo…

Mnyukano Jiji, TARURA

DAR ES SALAAM NA DENNIS LUAMBANO Halmashauri ya Jiji la Dar es Salaam imeingia kwenye mvutano mkali wa kimasilahi na Wakala wa Barabara Vijijini na Mijini (TARURA) Mkoa wa Dar es Salaam kuhusu ukusanyaji wa tozo za maegesho batili (wrong…