JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Anayegawa mali za marehemu ni msimamizi wa mirathi, si mahakama

Na Bashir Yakub  Unapokwenda kufungua shauri la mirathi mahakamani haimaanishi kuwa unakwenda kuiomba mahakama kugawa mali za marehemu. Bali unakwenda kufungua mirathi ili utambulike rasmi kimamlaka na kisheria kuwa wewe ni msimamizi wa mirathi.  Mahakama haitakiwi kugawa mali za marehemu kwani mahakama…

Kuna wakati namkumbuka Kangi Lugola

Na Joe Beda Rupia Mungu aliumba kusahau. Ndiyo. Kusahau ni jambo zuri sana. Tusingekuwa tunasahau, dunia ingejaa visasi. Wakati ukipita, watu husahau na maisha yanaendelea. Tanzania katika miaka yake 60 ya uhuru, imekuwa na mawaziri wa Mambo ya Ndani wengi…

Tunapambana na corona, tumesahau ukimwi

DAR ES SALAAM Na Mwalimu Samson Sombi Dunia imekumbwa na janga la ugonjwa wa corona (Uviko -19).Ugonjwa huu wa homa kali ya mapafu uligundulika kwa mara ya kwanza Desemba 2019 katika Jiji la Wuhan, China. Ukaanza kusambaa kwa kasi katika…

Pesa taslimu zinavyoligharimu taifa

*Sh trilioni 3 hupotea kila mwaka kupitia miamala KIBAHA Na Costantine Muganyizi Katika upande huu wa dunia ambako ni watu wachache wenye uhakika wa milo mitatu kamili kwa siku, Sh bilioni 1 ni fedha nyingi sana. Na ili ufikishe Sh…

Marekani inawezaje kuwa  kiranja wa demokrasia?

Na Nizar K. Visram Desemba 9 na 10 mwaka huu, Joe Biden, Rais wa Marekani, ameitisha mkutano wa kimataifa kuhusu demokrasia.   Alizialika nchi 110 katika mkutano wa kilele uliofanyika kwa njia ya mtandao. Licha ya wakuu wa nchi, walialikwa pia…

Mwinyi aibadili Z’bar

*Ajibu maswali magumu ya waandishi, afanya uamuzi mgumu kwa ujasiri *Afafanua uchumi wa bluu, awatoa wasiwasi wakaazi nyumba za maendeleo *Akabidhi visiwa 10 kwa wawekezaji, wanaoatamia ardhi kunyang’anywa *Asema mawaziri wanaoogopa waandishi inaashiria hawajafanya lolote Na Deodatus Balile, Zanzibar Rais…