JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Baraza la Mawaziri 1963

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Umri wa mawaziri umekuwa gumzo kwa nyakati tofauti, wengi wakitamani kuona Baraza la Mawaziri likitawaliwa na vijana. Na hata wakati Rais Samia Suluhu Hassan alipofanya mabadiliko mapema mwezi huu, hoja hiyo iliibuka tena. Ni…

Uspika tusipime maji kwa miguu miwili

Na Deodatus Balile, Dar es Salaam Mwezi huu aliyekuwa Spika wa Bunge, Job Ndugai, amejiuzulu. Ndugai ambaye ni Mbunge wa Kongwa, amejiuzulu kutokana na maneno makali aliyoyatoa Desemba 28, 2021 akiishambulia serikali kwa kuchukua mikopo kutoka nje ya nchi. Kilicholeta…

TEF kuwakusanya wahariri Afrika

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Wahariri wa vyombo vya habari kutoka nchi mbalimbali barani Afrika wanatarajiwa kukutana mara mbili nchini Tanzania, ndani ya miezi miwili, JAMHURI limeelezwa. Katika matukio hayo ya kihistoria, wahariri kutoka zaidi ya mataifa 10 ya…

Kisubi aliposajiliwa aliambiwa nini?

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu  Kuna nyakati mtu unabaki ukicheka tu kutokana na hali inavyokwenda. Kuna golikipa mmoja amewahi kunichekesha sana. Huyu ni Jeremiah Kisubi, golikipa wa Simba aliyetolewa kwa mkopo kwenda kwa wakata miwa wa Morogoro, Mtibwa Sugar…

Msanii wa Nigeria kutangaza utalii

Dar e Salaam Na Mwandishi Wetu Msanii nyota wa filamu wa Nigeria, James Ikechukwu Esomugha, maarufu kama ‘Jim Iyke’ anatarajiwa kuwasili nchini baadaye mwezi huu kwa ziara maalumu ya kikazi. Iyke, anayetamba na filamu yake mpya iitwayo ‘Bad Comments’, akiwa…

Tujiandae kwa kumbukumbu za Nyerere, Karume

Waasisi wa taifa la Tanzania, Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere na Sheikh Abeid Amani Karume, mwaka huu watafanyiwa kumbukumbu mbili tofauti; lakini zote zikiwa na umuhimu mkubwa. Kumbukumbu hizi zitafanyika kwa kufuatana; Aprili mwaka huu, ambapo kwa Sheikh…