JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mambo ya msingi yasiyozungumzwa  kwenye siasa za maridhiano Afrika

KILIMANJARO Na Nassoro Kitunda Kumekuwa na hoja kutoka kwa wanasiasa na wadau wa siasa kuhusu kutaka maridhiano kutoka pande zote; wa upinzani na chama tawala, na hadi inaingia Serikali ya Rais Samia Suluhu Hassan, kumekuwa na madai hayo ya wanasiasa…

Miaka 43 ya kifo cha Mbaraka Mwinshehe

TABORA Na Moshy Kiyungi Miongoni mwa wanamuziki maarufu zaidi kuwahi kutokea nchini na kutikisa anga la muziki Afrika ni Mbaraka Mwinshehe Mwaluka. Huenda kwa sasa ameanza kusahaulika lakini ukweli ni kwamba nyimbo zake kadhaa alizotunga au kuimba miaka ya 1970…

Mkakati wa kuondoa ‘Divisheni 0’ Arusha

Arusha Na Mwandishi Wetu Halmashauri ya Jiji la Arusha imedhamiria kuinua sekta ya elimu kwa kuboresha mazingira mazuri ya kufundishia na kujifunzia ili kuondoa daraja sifuri kwa wanafunzi wa kidato cha pili na nne kwa kutenga kiasi cha fedha kutoka…

Spika ajaye

*Msekwa asema kuna waliojitokeza kutangaza majina yao *Chenge, Dk. Tulia, Dk. Kashililah  watajwa kumrithi Ndugai DAR ES SALAAM Na Dennis Luambano Nani kurithi nafasi ya Spika wa Bunge baada ya Job Ndugai kujiuzulu Januari 6, mwaka huu, ni swali gumu…

UJANGILI  Bunduki yenye ‘silencer’ yatumika

*Wataalamu wasema ni kinyume cha sheria za uwindaji wa kitalii *Al Amry adaiwa pia kukiuka haki za watoto, kuwapa silaha hatari *Kesi ya rushwa aliyobambikiwa mwandishi yapigwa tarehe ARUSHA Na Mwandishi Wetu Wakati kesi iliyofunguliwa na Taasisi ya Kuzuia na…

Kiswahili chaongoza ufaulu nchini

*Ni matokeo ya mitihani ya darasa la nne, kidato cha pili na cha nne 2021 DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Wakati ufaulu katika somo la Hesabu kwa wanafunzi wa madarasa mbalimbali nchini ukiporomoka, somo la Kiswahili limetajwa kuongoza katika…