JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Dar es Salaam nzima kuwa ya ‘mwendokasi’ ifikapo 2025/26

*Barabara ya Segerea, Tabata hadi mzunguko wa Kigogo nayo imo Dar es Salaam Na Joe Nakajumo Wakala wa Mabasi Yaendayo Haraka (DAR RAPID TRANSIT – DART) ni taasisi ya serikali chini ya Ofisi ya Rais, Tawala za Mikoa na Serikali…

Maneno yametosha tuiokoe Ngorongoro

Kama ilivyotarajiwa, manabii wa vurugu za Loliondo na Ngorongoro kwa ujumla wao wamejitokeza kupaza sauti za uchonganishi wakijitahidi kuhalalisha uongo. Kwa wanaojua habari ya eneo hili hawashangai, maana kelele za ‘tunaonewa, tunapokwa ardhi yetu, tunapigwa nk’ ni filimbi nzuri sana…

Waziri Nape, ukweli kuhusu ‘vifurushi’

Bashir Yakub Ndugu yangu Nape Nnauye, Waziri wa Habari, Teknolojia ya Habari na Mawasiliano, tatizo liko hapo TCRA. Hizi kampuni za simu zinafanya biashara, hivyo zinaweza kufanya lolote zisipopata usimamizi. Tunahitaji kanuni za ‘vifurushi’, kama vifurushi, kutoka hapo TCRA ili…

Kamishna Mwakilema asisitiza umakini

ARUSHA NA MWANDISHI MAALUMU Kamishna wa Uhifadhi wa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (TANAPA), William Mwakilema, ameagiza bajeti ya mwaka wa fedha wa 2022/2023 iandaliwe kwa umakini unaozingatia malengo makuu ya taifa. Kadhalika, amesisitiza uandaaji wa bajeti hiyo sharti…

Waziri wa Mambo ya Ndani, IGP wawajibike

Hakuna siri kwamba taifa linapita katika kipindi kigumu, cha kutisha na kusikitisha kikiacha maswali mengi yasiyo na majibu vichwani mwa Watanzania. Ndani ya mwezi mmoja au miwili hivi kumetokea matukio ya ajabu ajabu yanayotishia usalama wa raia na mali zao…

STEVE WONDER… Mkongwe mwenye ukwasi mkubwa

Tabora Na MoshyKiyungi Hoja kwamba ulemavu si tija na kwamba mlemavu akipewa nafasi anaweza, huenda ikachukuliwa kama mpya miongoni mwa jamii. Wapo walemavu kadhaa waliofanikiwa kimaisha na kuwa mfano wa kuigwa kwa jamii katika fani mbalimbali, ikiwamo muziki. Mmoja wapo…