JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Huku Simba, kule waamuzi

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita niliamka na vitu viwili kichwani mwangu. Kwanza, niliamka na kitu kinachoitwa Simba; kisha nikaamka na kitu kinachoitwa waamuzi wa soka waliopo sasa nchini Tanzania.  Leo ninajiuliza kati ya haya mawili tuanze na…

Ma-DED wasitenguliwe tu, wachukuliwe hatua zaidi

Februari 4, mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya za Buchosa, Iringa, Mbeya na Singida Mjini kwa matumizi mabaya ya fedha za miradi ya maendeleo na upotevu wa mapato katika halmashauri hizo….

MIRABAHA… Mwanzo mzuri, sanaa nyingine zifikiriwe

Dar es Salaam Na Christopher Msekena Mamia kwa maelfu ya wasanii wa muziki nchini wameufungua mwaka 2022 kwa kicheko wakipokea gawio (au mirabaha) ya kazi zao kutoka serikalini kupitia Chama cha Hakimiliki (COSOTA). Katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar…

Korea Kaskazini yajaribu makombora

Pyongyang Korea Kaskazini Korea Kaskazini imeonyesha picha inazodai kuwa zimechukuliwa kutoka katika jaribio lao la kurusha kombora lenye nguvu kubwa zaidi kuwahi kufanyika katika kipindi cha miaka mitano. Picha hizo ambazo si za kawaida zimechukuliwa kutoka anga za mbali zikionyesha…

Mabadiliko makubwa mizani

*Malori ya mafuta yapunguziwa mizani *Hakuna kupima bandarini, yabakizwa 3 *Hofu ya mapato yaibuka, Waziri anena NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Serikali kupitia Wizara ya Ujenzi na Uchukuzi imefuta utaratibu wa malori ya mafuta yanayokwenda nje ya nchi kupimwa…

Mamlaka za nchi iokoeni Ngorongoro

Mwaka mmoja uliopita tulichapisha makala hii ya aliyekuwa mmoja wa wakurugenzi wa JAMHURI, Mkinga Mkinga – akishawishi mamlaka za nchi ziinusuru Ngorongoro. Maandishi yake yameendelea kuwa muhimu hasa wakati huu ambao tishio la kuiangamiza hifadhi hiyo ya kipekee duniani likiongezeka….