JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Zuio la picha maeneo haya si la haki

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, alipoutangazia umma kufunguliwa kwa Daraja la Tanzanite, nikarejea kwenye kisa kilichotokea siku ya uzinduzi wa ujenzi wake. Siku ya uwekaji wa jiwe la msingi mwaka 2018, Rais John Magufuli, na Spika Job…

Nape ampongeza Rostam                      kulipa mafao ya wafanyakazi

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye, amempongeza mmiliki wa Kampuni ya New Habari (2006) Ltd, Rostam Aziz, baada ya kulipa mafao ya waliokuwa wafanyakazi wake. Pongezi za Nape kwenda kwa…

Zitto: Harakati lazima ziendelee

*Atangaza ‘Baraza Kivuli la Mawaziri’ nje ya Bunge Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Kiongozi wa Chama cha ACT Wazalendo na mwanasiasa maarufu nchini, Zitto Kabwe, amesema wananchi wanahitaji kupata hoja mbadala. Akizungumza na wahariri na wanachama wa Jukwaa la…

Huku Simba, kule waamuzi

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Wiki iliyopita niliamka na vitu viwili kichwani mwangu. Kwanza, niliamka na kitu kinachoitwa Simba; kisha nikaamka na kitu kinachoitwa waamuzi wa soka waliopo sasa nchini Tanzania.  Leo ninajiuliza kati ya haya mawili tuanze na…

Ma-DED wasitenguliwe tu, wachukuliwe hatua zaidi

Februari 4, mwaka huu, Rais Samia Suluhu Hassan, ametengua uteuzi wa wakurugenzi watendaji wa halmashauri za wilaya za Buchosa, Iringa, Mbeya na Singida Mjini kwa matumizi mabaya ya fedha za miradi ya maendeleo na upotevu wa mapato katika halmashauri hizo….

MIRABAHA… Mwanzo mzuri, sanaa nyingine zifikiriwe

Dar es Salaam Na Christopher Msekena Mamia kwa maelfu ya wasanii wa muziki nchini wameufungua mwaka 2022 kwa kicheko wakipokea gawio (au mirabaha) ya kazi zao kutoka serikalini kupitia Chama cha Hakimiliki (COSOTA). Katika hafla iliyofanyika hivi karibuni jijini Dar…