JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Nimejifunza, Ukraine – Urusi taarifa zina utata

Na Deodatus Balile Tangu Urusi ianze mashambulizi dhidi ya taifa la Ukraine, nimekuwa na ufuatiliaji wa karibu wa mashirika mbalimbali ya habari ya kimataifa. Kuna jambo gumu nimejifunza. Nimekuwa nikilisikia hili nililojifunza, ila sasa nimejifunza kwa njia ngumu. Sitanii, miaka…

Vita ya Urusi dhidi ya Ukraine na ukweli kuhusu NATO

DAR ES SALAAM Na Abbas Mwalimu Urusi inatekeleza kile alichokiita Rais wake, Vladimir Putin, ‘Operesheni Maalumu’ nchini Ukraine aliyoitangaza Februari 24, mwaka huu. Wakati huu Urusi ikielekea Kyiv ambao ni Mji Mkuu wa Ukraine, Rais wake, Volodymyr Zelensky, ameuomba Muungano…

Bangala: Nusu mtu, nusu chuma

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu ‘Nusu mtu, nusu chuma’ ni jina la utani analoitwa mlinzi wa kati wa Klabu ya Simba ya Dar es Salaam, Joash Onyango, ambaye ni raia wa Kenya.  Onyango amepewa jina hili kutokana na kazi…

Ummy: Sitaki kusikia kuna uhaba wa damu salama

DAR ES SALAAM Na Aziza Nangwa  Waziri wa Afya, Ummy Mwalimu, amesema hataki kusikia kuna uhaba wa damu salama na anataka kuona inapatikana muda wote. Akizungumza Dar es Salaam mwishoni mwa wiki iliyopita, Ummy, amesema damu salama haipatikani sehemu nyingine…

Wanaoishi kinyemela nchini sasa ni wakati wa kuwabaini

Kamishna Jenerali wa Jeshi la Uhamiaji anasema jeshi hilo linaendelea na operesheni ya kuwabaini wahamiaji haramu nchini. Anasema tayari kazi hiyo imeonyesha mafanikio makubwa kwani watu wengi walio nchini kinyume cha sheria wameshatiwa mbaroni na kufikishwa mahakamani na wengine kurejeshwa…

Maboresho ya kanuni yatachochea ukuaji wa sekta ya mawasiliano

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Katika kuboresha mazingira ya utoaji huduma za mawasiliano nchini, Wizara ya Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari imetangaza maboresho ya Kanuni za Miundombinu ya Utangazaji Dijiti na Kanuni za Leseni zinazosimamiwa na Mamlaka ya…