JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

UNESCO nayo yatia mkono Ngorongoro

*Wakiri hali ikiachwa hifadhi inakufa *Waunga mkono uhamishaji wafugaji *Ujangili, ulaji wanyamapori vyashamiri *Angalizo shughuli za kibinadamu latolewa NA MWANDISHI WETU ARUSHA Shirika la Umoja wa Mataifa la Elimu, Sayansi na Utamaduni (UNESCO) limeunga mkono uamuzi wa Serikali ya Jamhuri…

‘Sniper’ wa tembo atupwa jela

*Hukodiwa kwa Sh 300,000 kuua tembo mmoja *Ni mtaalamu wa shabaha, mkazi wa Kibiti, Pwani MARA Na Mwandishi Wetu Huku akiwa bado anatumikia kifungo cha miaka mitatu kwa kosa alilokutwa nalo mwaka 2017, Karimu Musa (40), maarufu kwa jina la…

Nani mkweli kati ya GSM, Makonda?

Na Mwandishi Wetu Mgogoro wa kugombea eneo la kiwanja namba 60 kilichopo Regent Estate, Kata ya Mikocheni, wilayani Kinondoni kati ya mfanyabiashara, Ghalib Said Mohamed (GSM) na aliyekuwa Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda, unazidi kufukuta baada…

Kwa sasa Urusi inapigana vita mbili

Na Mwandishi Wetu Urusi kwa sasa inaongoza duniani kwa kuwa na vikwazo vingi vya kiuchumi, nafasi inayoiweka kwenye shaka ya kuporomoka kiuchumi. Marekani na mataifa ya Ulaya wanazidi kubuni vikwazo vipya ambapo hivi karibuni wameiwekea vikwazo 2,778 na kuifanya kuwa…

Ubaguzi, unafiki vita ya Urusi Vs Ukraine

Na Nizar K Visram Limekuwa jambo la kawaida kwa vyombo vya habari na serikali zao za Magharibi kuilaani Urusi, wakisema ni uhalifu wa sheria ya kimataifa kwa nchi moja kuivamia nchi nyingine.  Lakini sheria hiyo hutiwa kapuni pale nchi za…

Hotuba ya Dk. Mwinyi kwa wahariri

Ifuatayo ni hotuba ya Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, katika uzinduzi wa Mkutano Mkuu wa Sita wa Mwaka wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), aliyoitoa kwenye Ukumbi wa Idris Abdul Wakil, Zanzibar,…