Author: Jamhuri
Cannavaro alituachia Yondani, Yondani ametuachia nani?
Dar es Salaam NA MWANDISHI WETU Wiki iliyopita kocha wa timu ya taifa ya Tanzania, Taifa Stars, Kim Poulsen, ametangaza kikosi chake ambacho kilitarajiwa kukusanyika na kuingia kambini Jumapili ya juzi kwa ajili ya kujiandaa na michezo yake mbalimbali. Ukikisikia…
Uteuzi wa Steve Nyerere Shirikisho la Muziki uwashtue wasanii
DAR ES SALAAM NA CHRISTOPHER MSEKENA Miongoni mwa mambo yanayoirudisha nyuma sekta ya sanaa nchini ni utamaduni wa wasanii kupuuza mambo muhimu yaliyowekwa kwa ajili ya ustawi wao. Wiki jana tasnia ya burudani ilikuwa gumzo baada ya Shirikisho la Muziki…
UJUMBE WA KWARESMA – (2) ‘Tunawasihi kwa jina lake Yesu Kristo, mpatanishwe na Mungu’
Hii ni sehemu ya pili ya Ujumbe wa Kwaresma kwa mwaka 2022 kama ulivyotolewa na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC). Tuendelee… Agano Jipya 9. Kwa njia ya dhambi binadamu anatengeneza uadui na Mungu. Anatengwa na Mungu na anakuwa chini ya…
Kwa nini Katiba mpya ni muhimu
Morogoro Na Everest Mnyele Katiba tuliyonayo sasa pamoja na marekebisho yake, ni ya mwaka 1977. Katiba hii ni matokeo ya kuundwa kwa chama kimoja cha siasa, Chama Cha Mapinduzi (CCM) Februari 5, 1977. Katika hali ya kawaida, Katiba iliyopo pamoja…
Dk. Biteko aombwa kusitisha leseni
Shinyanga Na Antony Sollo Waziri wa Madini, Dk. Dotto Biteko, ameombwa kufuta leseni ya Kampuni ya El-Hillal Minerals kutokana na walinzi wake kutuhumiwa kumuua kwa risasi mchimbaji mdogo wa madini. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Kishapu mkoani Shinyanga, William…
Elimu ardhi mgogoro wa Makonda, Gharib
Bashir Yakub Kwanza; ukinunua ardhi (nyumba, kiwanja, shamba) hakikisha unafanya ‘transfer’ (kuhamisha umiliki kutoka aliyekuuzia kwenda jina lako, mnunuzi) mara moja kadiri uwezavyo. Wengi mkinunua kwa sababu hakuna anayekulazimisha kufanya ‘transfer’ kwa haraka, basi mkishakabidhiwa hati na mikataba ya mauziano…