JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Umuhimu wa kuwa na Katiba ya umma madhubuti

Morogoro Na Everest Mnyele  Wiki iliyopita tulizungumzia umuhimu wa kuwa na Katiba mpya ya umma. Ninajua kuwa kuna wataalamu wengi wameandika juu ya umuhimu wa kuwa na katiba thabiti ya umma.  Nia yangu ni kuendelea kusisitiza umuhimu wa kuwa na…

KARIBU MWEZI MTUKUFU WA RAMADHANI Funga ya Ramadhani chuo cha tabia njema

Leo Jumanne Machi 29, mwaka 2022 ni sawa na tarehe 26 Shaaban (Mwezi wa 8 kwa Kalenda ya Kiislamu inayoanza Mwezi Muharram – Mfungo Nne) Mwaka 1443 Hijiriyya (toka kuhama kwa Mtume Muhammad –Allah Amrehemu na Ampe Amani – kutoka…

Upandaji miti unahitaji wigo mpana zaidi

Miongoni mwa vichocheo vinavyoongeza tishio la ukame na mabadiliko ya tabia nchi linaloikumba dunia kwa muda mrefu sasa ni ukataji holela wa miti na uharibifu wa mazingira, hususan misitu. Ongezeko la ukataji miti ni tatizo kubwa kwa dunia na hata…

UJUMBE WA KWARESMA – (3) ‘Tunawasihi kwa jina lake Yesu  Kristo, mpatanishwe na Mungu’

Mafundisho ya Mt. Yohane Paulo II (Papa) 19. Mt. Yohane Paulo II (Papa) aliona umuhimu wa upatanisho kwa Kanisa na kwa ulimwengu mzima.  Papa aliona upatanisho kama njia ya kuuponya ulimwengu uliovunjika kutokana na mgawanyiko katika uhusiano kati ya watu binafsi na…

Ubalozi Marekani watuhumiwa

NA MWANDISHI WETU DAR ES SALAAM Ubalozi wa Marekani jijini Dar es Salaam unatuhumiwa kumpunja mjane mafao yaliyotokana na kifo cha mumewe. Mjane huyo, Salome Leguna, ameushitaki ubalozi huo kwa Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,…

Huyu ndiye Rais Samia

*Anaendeleza ujenzi wa miradi mikubwa *Anaimarisha diplomasia ya uchumi *Anaboresha utawala bora, demokrasia DAR ES SALAAM NA MWANDISHI WETU Rais Samia Suluhu Hassan ametimiza mwaka mmoja tangu aapishwe Machi 19, mwaka jana na kuanza kuongoza nchi baada ya kifo cha…