JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mgogoro wa fedha wafukuta kwa Wasabato

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Washiriki wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania wanawatuhumu baadhi ya viongozi wao kwa tuhuma mbalimbali ikiwamo ubadhirifu wa fedha na matumizi mabaya ya madaraka. Tuhuma hizo zimesababisha mgogoro wa muda mrefu na kusababisha washiriki…

Rais Mwinyi kutembelea Kojani Pemba

*Aagiza Wakojani wawezeshwe  mitumbwi Uchumi wa Buluu *Ni Kisiwa chenye skuli ambayo  wanafunzi wanasoma kompyuta ZANZIBAR Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amesema atakitembelea Kisiwa cha Kojani, Pemba baada ya…

Vita ya Urusi, uroho wa faida

Na Deodatus Balile Kwa muda wa wiki tatu hivi, sijapata kuandika katika safu hii. Ni kutokana na kubanwa na majukumu mengi, ambayo bila kujitoa pengine mengi yangekwama. Nimepokea simu na ujumbe kutoka kwa wasomaji wangu kadhaa wakihoji kulikoni siandiki? Naomba…

BEI YA MAFUTA… EWURA, wahariri wataka mbadala

DAR ES SALAAM Na Joe Beda Wakati kupanda kwa bei ya petroli, dizeli na mafuta ya taa kukielezwa kuwa hakuepukiki, Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji (Ewura) imekubaliana na Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) kwamba kuna haja…

Dk. Mwinyi atoa salamu za Ramadhani, aonya

Zanzibar Na Mwandishi Wetu Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewasihi wafanyabiashara kutoutumia mgogoro wa Urusi na Ukraine kama kisingizio cha kupandisha bei za bidhaa katika Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Akizungumza katika risala…

Bandari ya Karema kuwa kitovu cha usafirishaji Ziwa Tanganyika

KATAVI Na Mwandishi Wetu Nchi inazidi kufunguka. Miradi mbalimbali imeanzishwa, inaanzishwa na itaanzishwa huku utekelezaji wa ujenzi wake ukiendelea kwa nia moja tu ya kuhakikisha uchumi wa nchi unazidi kuimarika. Miongoni mwa ujenzi wa miradi inayoendelea kutekelezwa ni ule wa…