JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Binti aboresha kitimwendo kuwasaidia walemavu

*Sasa kitawawezesha kufanya kazi za mikono, mazoezi kwa urahisi *Agizo la Serikali kwa TIRDO, SIDO kushirikiana naye lapuuzwa Dar es Salaam Na Alex Kazenga  Binti wa Kitanzania, Joan Mohamed (24), ameibuka na ubunifu wa aina yake utakaokifanya kitimwendo (wheelchair) kuwa…

UJUMBE WA KWARESMA – (5) Papa Francis na ‘uongofu wa mazingira’

Jumapili ya wiki hii ni Sikukuu ya Kufufuka kwa Bwana Yesu Kristo; yaani Pasaka. Kwa maana hiyo leo tunawaletea sehemu ya mwisho ya mfululizo wa Ujumbe wa Kwaresma kwa mwaka 2022 kama ulivyoandaliwa na Baraza la Maaskofu Katoliki (TEC). SURA…

Laylatul Qadri ni siku bora katika Uislamu

Jumanne ya leo Aprili 12, 2022  ni siku ya kumi tangu kuanza kwa Mwezi Mtukufu wa Ramadhani. Tunamuomba Allaah Mtukufu Azikubali Swaumu zetu. Makala yetu leo inakusudia kuiangazia siku ndani ya Mwezi wa Ramadhani iitwayo ‘Laylatul Qadri’ (Usiku wa Cheo)…

Katiba thabiti huleta ustawi, furaha ya kweli

MOROGORO Na Everest Mnyele Tumekwisha kuzungumzia kwa ujumla nini maana ya katiba thabiti na inapaswa kuwa vipi. Leo tutazame umuhimu wake kwa uchumi, ustawi na furaha ya kweli kwa wananchi; furaha (ya kweli) ikiwa ndicho kipimo cha juu kabisa cha…

Utaratibu kununua ardhi ambayo haijasajiliwa

Na Bashir Yakub 1. Mjue mtu anayekuuzia. Na hapa unapaswa kujitahidi kumjua sana, wanasema kumchimba. Unaweza kumjua kwa kuuliza majirani, kupitia aliyekutambulisha kwake na namna nyingine yoyote itakayokuwezesha kumjua zaidi. Lakini pia hakikisha unajua makazi yake. 2. Onyeshwa ardhi na…

Sensa kufanyika kidijitali

Zanzibar Na Mwandishi Wetu Rais Samia Suluhu Hassan amezindua nembo na tarehe ya Sensa ya Watu na Makazi ya mwaka 2022. Uzinduzi huo ulifanyika Aprili 8, mwaka huu katika ukumbi wa Hoteli ya Golden Tulip, Zanzibar ambapo Rais alitangaza kuwa…