JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Mafuta, Shabiby, tugeukie gesi

Na Deodatus Balile Wiki hii nazungumzia tatizo sugu linalolikabili taifa letu katika nishati ya mafuta. Kabla zijaingia undani wa bei za mafuta na suluhisho mujarabu, nizungumzie kwanza kupanda kwa bei za bidhaa na huduma.  Kwa sasa kila mtu anapandisha bei…

BEI YA MAFUTA Kauli ya Shabiby yazua mjadala

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Kauli iliyotolewa bungeni jijini Dodoma wiki iliyopita kuhusu kutaka kutazamwa upya kwa utaratibu wa uagizaji wa mafuta ili kuleta ushindani sokoni, imepokewa kwa mitazamo tofauti. Akichangia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu,…

MIAKA 100… Utu wa Mwalimu Nyerere unaendelea kung’ara

DAR ES SALAAM Na Anna Julia Chiduo – Mwansasu Watanzania tumeamua kuadhimisha kwa kishindo miaka 100 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.  Ni dhahiri zipo sababu za uamuzi huu na zipo sababu za Mwalimu Nyerere kuendelea…

MIAKA 100 MWALIMU NYERERE Nini cha kukumbuka?

DAR ES SALAAM Na Dk. Felician Kilahama  Nichukue fursa hii kwanza kumshukuru Mwenyezi Mungu kwa mambo mengi anayotutendea siku hata siku, ikiwa ni pamoja na zawadi ya uhai; hivyo kila mwenye pumzi na amsifu Mungu.  Tunapomkumbuka Baba wa Taifa Mwalimu…

Unakifahamu kilichomuua Mwalimu Nyerere?

Na Joe Beda Rupia Birth-day au birthday. Siku ya kuzaliwa. Huwa si siku maarufu sana kwa kweli katika maana halisi ya ‘siku ya kuzaliwa’!  Huwa haifahamiki. Kwa nini? Kwa sababu mtoto anayezaliwa hajulikani. Hasa kama mtoto mwenyewe anatoka katika familia…

Bandari ya Dar es Salaam  yaweka historia mpya

*Meli kubwa yatia nanga   ikiwa imebeba magari 4,041 DAR ES SALAAM Na Mwandishi Maalumu Bandari ya Dar es Salaam imevunja rekodi yake baada ya wiki iliyopita kupokea meli kubwa zaidi kuwahi kufika, pia ikiwa ni ya kwanza yenye mzigo mkubwa…