JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Uchafuzi Mto Mara kizungumkuti

*Wabunge wakataa ripoti ya kitaalamu, wainyoshea kidole Barrick *Wananchi nao wawashangaa wabunge, JAMHURI labaini hali tofauti  TARIME Na Paul Mayunga Wakati baadhi ya wabunge wakiikosoa na kuitilia shaka ripoti iliyotolewa wiki iliyopita na serikali, wananchi wa vijiji vilivyopo ukingoni mwa…

Wasabato wang’aka, wakataa porojo za ubadhirifu

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Baada ya Katibu Mkuu wa Kanisa la Waadventista Wasabato Tanzania, Jimbo Kuu la Kusini, Mchungaji Dk. Rabson Nkoko, kusema hakuna mgogoro wowote wa fedha unaofukuta, washiriki wengine wameibuka na kumtaka ajitokeze tena hadharani kueleza…

Rekodi ugenini kikwazo Simba

Dar es Salaam Na Andrew Peter Rekodi ya Simba katika mechi za ugenini ni kikwazo pekee kwa mabingwa hao wa Ligi Kuu Tanzania Bara katika kutimiza ndoto ya kucheza nusu fainali na hatimaye fainali ya Kombe la Shirikisho Afrika. Kwa…

Mafuta, Shabiby, tugeukie gesi

Na Deodatus Balile Wiki hii nazungumzia tatizo sugu linalolikabili taifa letu katika nishati ya mafuta. Kabla zijaingia undani wa bei za mafuta na suluhisho mujarabu, nizungumzie kwanza kupanda kwa bei za bidhaa na huduma.  Kwa sasa kila mtu anapandisha bei…

BEI YA MAFUTA Kauli ya Shabiby yazua mjadala

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Kauli iliyotolewa bungeni jijini Dodoma wiki iliyopita kuhusu kutaka kutazamwa upya kwa utaratibu wa uagizaji wa mafuta ili kuleta ushindani sokoni, imepokewa kwa mitazamo tofauti. Akichangia Hotuba ya Bajeti ya Ofisi ya Waziri Mkuu,…

MIAKA 100… Utu wa Mwalimu Nyerere unaendelea kung’ara

DAR ES SALAAM Na Anna Julia Chiduo – Mwansasu Watanzania tumeamua kuadhimisha kwa kishindo miaka 100 ya kuzaliwa kwa Baba wa Taifa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere.  Ni dhahiri zipo sababu za uamuzi huu na zipo sababu za Mwalimu Nyerere kuendelea…