JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Utata Mloganzila

*Yatupiwa lawama ikipachikwa majina ya ‘njia panda ya kuzimu’, ‘ukienda hutoki’ *Mgonjwa alazwa siku sita, atibiwa mara mbili tu akitozwa Sh milioni 1.8  *JAMHURI lapiga kambi siku kadhaa kubaini ukweli, hali halisi ya mambo *Uongozi wazungumza, wasema lawama nyingi si…

Ubingwa si kigezo kocha kubaki  Yanga, Simba, Azam FC 

Dar es Salaam Na Andrew Peter “Kocha mnabadili leo, baada ya miezi mitatu anakuja mwingine katikati ya msimu huo. Mnategemea mtafanikiwa vipi? Maana huyu timu bado hajaizoea, kaondoka, anakuja mwingine. Halafu mna mechi kubwa. Baadaye mkifungwa mnasema kumbe na huyu…

Asante Mbowe kwa hotuba yenye matumaini, lakini…

DAR ES SALAAM Na Abbas Mwalimu Mimi ni mmoja wa Watanzania waliofuatilia hotuba ya Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Freeman Mbowe ya Mei 11, 2022. Hakika ilikuwa hotuba iliyojaa hekima, busara na ukomavu wa kisiasa. Mbowe ameonyesha…

Mchechu adai fidia Sh bilioni 3

Dar es Salaam Na Mwandishi Wetu Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Nyumba la Taifa (NHC), Nehemia Mchechu, amefungua kesi katika Mahakama Kuu Kanda ya Dar es Salaam akidai Gazeti la Citizen limlipe fidia ya Sh bilioni 3. Analilalamikia gazeti hilo…

Rais Samia analiunganisha tena taifa

Na Deodatus Balile Leo naomba nianze makala yangu kwa kumnukuu Makamu Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Tundu Lissu, katika kauli aliyoitoa baada ya tukio la Septemba 7, 2017 alipopigwa risasi 16, na baadaye akawa kwenye matibabu nje…

Mabilionea wa kimataifa wafaidika na vita 

Na Nizar K Visram Vyombo vya habari vimechangamka kutupatia habari za vita ya Ukraine. Hata hivyo, ni nadra kwao kutueleza jinsi matajiri wa kimataifa wanavyotajirika zaidi kutokana na vita hii. Jinsi kampuni zinazotengeneza na kuuza silaha zinavyofurahia na kuishangilia vita…