JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Umaarufu wa Rais uiunganishe Afrika

Ndoto ya miaka mingi ya viongozi waasisi wa Umoja wa Afrika (awali OAU na sasa AU) ya kuliona bara hili likishirikiana katika kila nyanja, si kwamba tu haijatimia, bali pia haionekani kutimia katika miaka 10 au 20 ijayo. Ukweli huu…

Uchakavu waitesa Hoteli ya Bahari Beach 

DAR ES SALAAM Na Mwandishi Wetu Hali ya hoteli ya kitalii yenye hadhi ya nyota tano inayomilikiwa na Serikali ya Libya, Bahari Beach Ledger Plaza, ni mbaya kiasi cha kuibua migogoro ya mara kwa mara kati ya uongozi na wafanyakazi….

SAMATTA, MSUVA: Kwa suala la Stars, Niger wajipange

DAR ES SALAAM Na Andrew Peter Pamoja na ukame wa mabao na kusota benchi katika klabu zao washambuliaji Mbwana Samatta na Simon Msuva bado wanabeba matumaini ya Taifa Stars dhidi ya Niger katika kusaka kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya…

Bao la Fei Toto lafufua rekodi Yanga

Dar es Salaam Na Andrew Peter Bao la shuti la umbali wa mita 25 la kiungo Feisal Salum Abdallah ‘Fei Toto’ limefufua ndoto ya Yanga ya kusaka rekodi kuwa timu ya kwanza kutwaa mataji mawili; Kombe la Shirikisho la Azam…

Israel yashitakiwa kwa mauaji ya wanahabari

Na Nizar K Visram Shireen Abu Aqleh alikuwa mwanahabari wa Kipalestina aliyeajiriwa na Shirika la Utangazaji la Al Jazeera hadi Mei 11, 2022 alipopigwa risasi na kuuawa na wanajeshi wa Israel.  Aliuawa akiwa kazini akiripoti habari za wanajeshi hao kuvamia…

Lipumba na tuzo ya Mo  Ibrahim kwa Rais Samia

MOROGORO Na Everest Mnyele Tuzo ya Mo Ibrahim ilianzishwa mwaka 2007 na bilionea wa Sudan, Mohamed ‘Mo’ Ibrahim, kupitia taasisi yake kwa madhumuni ya kuwatuza viongozi wa Afrika, hasa marais na wakuu wa serikali walioonyesha uongozi uliotukuka katika nchi zao. …