JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Yahya Jammeh: Dikteta wa Gambia aliyepora mabilioni

Na Nizar K Visram Mahakama ya Marekani imeamuru kuwa jengo lenye thamani ya dola milioni 3.5  lililo karibu na Washington lichukuliwe kutoka kwa Yahya Jammeh, aliyekuwa Rais wa Gambia. Uamuzi huu wa Mei 24, mwaka huu ni baada ya kudhihirika…

Waziri Dk. Mwigulu epuka kodi za kero

Na Deodatus Balile, Dodoma Wiki iliyopita nilikuwa katika Ukumbi wa Bunge. Nilimsikiliza kwa umakini mkubwa Waziri wa Fedha na Mipango, Dk. Mwigulu Nchemba, wakati anawasilisha bajeti ya wizara yake. Dk. Mwigulu alieleza kuhusu maeneo mengi hasa kilimo kwa ufasaha mkubwa…

Bajeti hii itekelezwe kikamilifu

Bajeti Kuu ya Serikali kwa mwaka wa fedha 2022/23 imesomwa wiki iliyopita bungeni jijini Dodoma na kwa sasa inajadiliwa kabla ya kupitishwa tayari kwa utekelezaji wake kuanzia Julai Mosi mwaka huu. Kwa kawaida, pamoja na ukweli kwamba kabla ya kusomwa…

BAJETI 2022/23 Mhadhiri: Tujipange kwa Sh trilioni 20 tu

*Wananchi waomba kodi ya kichwa isirejeshwe DAR ES SLAAM Na Mwandishi Wetu Bajeti Kuu ya Serikali iliyosomwa bungeni jijini Dodoma wiki iliyopita imezua mjadala karibu kila kona ya nchi, ikipongezwa katika maeneo mengi, lakini pia serikali ikiombwa kutoa ufafanuzi hapa…

Ahadi za Ruto, Raila zinatekelezeka?

Mombasa Na Dukule Injeni Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC) imepitisha wagombea wanne miongoni mwa zaidi ya 50 walioomba kuwania urais kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Agosti 9, mwaka huu; ila ni wawili tu ndio wanapewa nafasi kubwa kumrithi…

Treni, mabehewa SGR ni mitumba

*Ni tofauti na tambo za awali za TRC kuwa wangeleta injini, mabehewa mapya kutoka kiwandani *Ukarabati, utiaji nakshi mabehewa chakavu haujakamilika; TRC, mzabuni waingia kwenye mgogoro wa malipo NA MANYERERE JACKTON DAR ES SALAAM Injini na mabehewa ya treni vilivyoagizwa…