JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

UNFPA:Muda wa kuishi kwa Watanzania umeongezeka

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Manyara Mkoa wa Manyara unatajwa kuwa kwa sasa una jumla ya idadi ya watu millioni moja, laki nane na elfu sabini na tano sawa na ongezeko la asilimia 3.2. Ameyaeleza hayo Mkuu wa Mkoa wa Manyara Charles Makongoro…

Tanzania kutumia fursa za uwekezaji kutoka benki ya Afrexim

Na Peter Haule,JamhuriMedia,Dodoma Waziri wa Fedha na Mipango Mwigulu Lameck Nchemba amemuahidi Rais wa Benki ya Afrexim kuongeza mtaji wa ziada katika Benki hiyo ambayo Tanzania inamiliki hisa ili iwe na wigo mpana wa kuendelea kupata rasilimali fedha kwa ajili…

Yanga ‘kujifungia’ Kigamboni Dar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mabingwa Watetezi wa Ligi Kuu Soka Tanzania Bara, na Michuano ya ASFC, Young Africans SC wamethibitisha kuwa wataweka kambi ya maandalizi ya msimu ujao wa mashindano jijini Dar es Salaam katika hosteli za Avic Town, Kigamboni. Akizungumza…