JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yafikia asilimia 37 ya uchanjaji UVIKO-19

Na Catherine Sungura,JamhuriMedia,Tanga HADI kufikia Julai 18, 2022 jumla ya wananchi milioni 11.5 sawa na asilimia 37 ya watu wenye umri wa miaka 18 na kuendelea wamepata chanjo kamili ya UVIKO-19 hapa nchini. Hayo yamebainishwa jana na Waziri wa Afya…

Waziri Mulamula aongoza ujumbe mkutano wa 24 SADC

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki,Liberata Mulamula ameongoza ujumbe wa Tanzania katika Mkutano wa 24 wa Kawaida wa Kamati ya Mawaziri wa Asasi ya Ushirikiano katika masuala ya Siasa, Ulinzi na Usalama wa…

Happy Nation lagongana uso kwa uso na roli

Na Mwandishi Wetu, JamhuriMedia, Morogoro Watu wanne wamejeruhiwa baada ya kutokea ajali ya barabarani iliyotokea katika eneo la Mkambalani wilayani Morogoro ikihusisha basi la abiria kampuni ya Happy Nation lenye namba za usajili T 702 DGF lililokuwa likitokea Dar es…

Rais Samia amwapisha IGP Wambura

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan ameunda Kamati na Sekretarieti zitakazoshauri namna ya kuleta mabadiliko ya utendaji kazi wenye matokeo bora katika vyombo vya utendaji haki. Rais Samia amesema hayo katika hafla ya uapisho wa Viongozi…

Burigi Chato yatakiwa kujitangaza kufikia uwezo kujiendesha

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kamishna Uhifadhi (TANAPA), William Mwakilema ameagiza Menejimenti ya Hifadhi ya Taifa Burigi -Chato kuboresha huduma za utalii pamoja na kuongeza juhudi za kujitangaza ili kufikia uwezo wa kujiendesha na kuchangia pato la Taifa. Kamishna Mwakilema ameyasema hayo…