JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watalii 35 kutoka Israel watua Rombo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Rombo KIKUNDI cha Upendo Group kutokea nchini Israel kimewasili katika Wilaya ya Rombo kwa wiki mbili kuanzia Julai 26 hadi Agosti 6, mwaka huu. Pamoja na kufanya utalii, lakini kikundi hicho kitakarabati madarasa mawili ya shule ya msingi…

Kesi ya aliyekuwa kigogo PSSSF na wenzake yaahirishwa tena

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Kesi ya aliyekuwa kigogo wa Mfuko wa Pensheni kwa watumishi wa Umma(PSSSF),Rajabu Kinande na wenzake Ashura Kapera (36), Farida Mbonaheri (33), Mohamed Miraji (47) na Msafiri Raha walikuwa wakikabiliwa na mashitaka manne likiwemo wizi imeahirishwa tena Chanzo…

Serikali,TUCTA wakutana kujadili malalamiko ya nyongeza ya mishahara

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dodoma Serikali imekutana na uongozi wa Shirikisho la vyama vya Wafanyakazi (TUCTA) kutokana na malalamiko ya wafanyakazi juu ya nyongeza ya mishahara ya kima cha chini. Akizungumza na waandishi wa habari leo mara baada ya kumalizika kwa kikao…

Zaidi ya Watanzania milioni 61 kuhesabiwa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Tanga ZAIDI ya Watanzania milioni 61 wanakadiriwa kuhesabiwa wakati wa zoezi la Sensa ya Watu na Makazi itakalofanyika Agosti 23 mwaka huu hapa nchini. Hayo yamesemwa na Kamisaa wa Sensa ya Watu na Makazi Anna Makinda wakati wa…