JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Bei ya petroli, dizeli yaendelea kupaa

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Bei ya mafuta nchini Tanzania, imepanda tena mwezi huu na kuivuka ile ya Julai 2022 ambapo petroli imepanda kwa Sh.190 kwa kila lita na Sh179 kwa kila lita ya dizeli huku mafuta ya taa yakipanda kwa Sh323…

Gonzalez: Tutashirikiana na Serikali kupambana na vitendo vya ukatili

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Amon Mpanju ameiomba Klabu ya Mpira inayoshiriki Ligi Kuu Tanzania Bara Simba Sports Club kuungana na Serikali katika kutoa elimu kuhusu Malezi, Makuzi na…

Kibaha yaongoza ukusanyaji mapato, Bumbuli yashika mkia

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Uchambuzi umeonesha kuwa, katika mwaka wa fedha 2021/22, halmashauri 100 zimekusanya kwa asilimia 100 au zaidi ya lengo la mwaka, halmashauri 78 zimekusanya kati ya asilimia 80 hadi asilimia 99 na halmashauri saba zimekusanya kati ya asilimia…