Author: Jamhuri
Kenya yajifunza Tanzania kuhusu usalama na afya mahala pa kazi
Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF) umepokea ujumbe wa Kurugenzi ya Usalama na Afya Mahali pa Kazi ya Kenya (DOSHS) wenye dhumuni la kujifunza kutokana na mafanikio ya WCF Tanzania na kuboresha mahusiano baina ya taasisi hizo mbili. Akizungumza baada…
Rais Dkt.Mwinyi awapa neno wana CCM nchini
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) ambae pia ni Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi amewataka wanachama wa CCM kuchagua viongozi makini watakaoweza kukivusha chama hicho katika Uchaguzi Mkuu ujao wa…
TEF:Tunataka sheria za habari zitupe mwongozo
Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF), Deodatus Balile, amesema kuwa duniani kuna mifumo mitatu ya usimamizi wa vyombo vya habari ambapo kila Serikali huamua kuchagua mfumo mmoja ambao utawaunganisha na wana habari. Hayo ameyabainisha leo katika…
Majaliwa awapa kibarua uongozi Ikungi
Waziri Mkuu,Kassim Majaliwa,amekagua miradi ya maendeleo na kuweka jiwe la msingi la ujenzi wa kituo cha afya cha Iglanson, Chuo cha Mafunzo ya Ufundi Stadi Veta na Hospitali ya Wilaya ya Ikungi vyote vikiwa wilayani humo mkoani Singida wakati wa…
IMF yashusha makadirio ya ukuaji uchumi wa dunia
Kamati imeridhishwa na utekelezaji wa sera ya fedha, uliopelekea kuwepo ukwasi wa kutosha katika mabenki, na hivyo kuchochea ukuaji wa mikopo kwa sekta binafsi. Hata hivyo, Kamati imeendelea kufuatilia kwa karibu ongezeko la mfumuko wa bei kutokana na kupanda kwa…