Author: Jamhuri
TPA: Maonesho ya kilimo Nanenane ni muhimu kwa taasisi
Na Mwandishi Wetu,Jamhurimedia,Mbeya Maonesho ya Kilimo ya Nanenane 2022 yanayofanyika kitaifa kwenye viwanja vya John Mwakangale Jijini Mbeyayametoa fursa kwa Taasisi mbalimbali kukutana na wananchi hususani wakazi wa Mkoa wa Mbeya na mikoa ya jirani ya iliyopo Nyanda za Juu…
Treni binafsi za mizigo zatumia reli ya TAZARA ubebaji mizigo
Mamlaka ya Reli ya Tanzania na Zambia TAZARA ni kampuni ambayo inafanya usafirishaji wa mzigo kupitia mpaka wa Tunduma mkoani Songwe ambapo Zambia na DRC Congo ndiyo zenye kutumia kwa kiwango kikubwa reli ya Tanzania kwa kubeba mzigo yake mingi…
Waiomba Manispaa Songea kuharakisha ujenzi soko la Manzese
BAADHI ya wafanyabiashara wadogo waliokuwa wanafanya shughuli zao soko la Manzese A na B katika Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma,wameiomba serikali kupitia Manispaa hiyo kuharakisha ujenzi wa soko jipya ili waweze kurudi na kufanya shughuli zao kama hapo awali. Wafanyabiashara…
Tanzania yashika nafasi ya 28 michezo ya Jumuiya ya Madola
Na Issa Michuzi,JamhuriMedia,Birmingham Tanzania imehitimisha ushiriki wake katika Michezo ya 22 ya Jumuiya ya Madola jijini Birmingham, Uingereza, ikiwa katika nafasi ya 28 baada ya mategemeo yake manne ya mwisho kushindwa kuambulia chochote kwenye michezo yao usiku wa kuamkia leo….
Walengwa wa TASAF Morogoro wawezeshwa kuzalisha funza chuma
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora,Jenista Mhagama amesema walengwa wa Mpango wa Kuzinusuru Kaya Maskini Manispaa ya Morogoro unaoratibiwa na Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), wamewezeshwa kuendesha mradi wa funza chuma…