JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Tanzania yaweka rekodi kwa wananchi kuhamia vijijini

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia Wakala wa Nishati Vijijini (REA),hadi sasa umetumia takribani Shilingi trilioni 3 kwa ajili ya kazi ya kupeleka miradi ya umeme vijijini ili kuhakikisha nishati ya umeme inafika na kutumika kwa ajili ya matumizi mbalimbali ikiwemo ya uzalishaji,…

Meena:Sheria zenye mtego zimechangia kutia hofu wanahabari

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar IMEELEZWA kuwa kuna mambo mengi yaliyochangia kutia hofu wanahabari ni pamoja na kuwepo kwa sheria zenye mtego, ikiwemo utaratibu wa kuomba leseni ya kuendesha gazeti kila mwaka. Hayo yamebainishwa na mjumbe wa Kamati Tendaji ya Jukwaa la…

Polisi waendelea na oparesheni kali kuzuia uhalifu Dar

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Dar Jeshi la Polisi Kanda Maalum Dar es Salaam limesema linaendelea na operasheni maalum kali ya kuzuia vitendo vya kihalifu maeneo mbalimbali ya jiji la Dar es salaam. Akizungumza mapema leo Kamanda wa Polisi Kanda Maalum Dar es…

Waziri Sagini ataka kuchukuliwa hatua wasiofuata sheria

Naibu Waziri wa Mambo ya Ndani ya Nchi Jumanne Sagini amewataka Wakuu wa Usalama Barabarani wa Mikoa na Wilaya (RTOs na DTOs) kuendelea kuwachukulia hatua kali madereva sambamba na watumiaji wengine wa vyombo vya moto wasiotaka kufuata sheria,kanuni na alama…