JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Amuua mkewe na mtoto wake,walifunga ndoa mwezi uliopita

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Morogoro Jeshi la Polisi mkoani Morogoro linamshikilia Msafiri Nasibu (31), mkazi wa kitongoji cha Maskati, Kata ya Tegetero Halmashauri ya Morogoro kwa tuhuma za mauaji ya mke wake Mariam Vitaris (19) na mtoto wake wa miaka 2 huku…

Dkt.Mpango atoa maagizo kwa Wizara ya Madini

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango,ameitaka Wizara ya Madini, STAMICO na NEMC kuongeza kasi ya ukaguzi wa migodi na midogo ili kubaini na kudhibiti uharibifu wa mazingira. Makamu wa Rais amesema hayo jana jijini…

‘Vyombo vya habari vinahitaji sheria rafiki’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedi, Dar TASNIA ya habari inapaswa kuwa na sheria na kanuni rafiki ili kuruhusu kukua na kwamba, kuweka sheria kali na ngumu, kunaua vyombo vya habari lakini kunaacha athari hasi kwa taifa. Hayo yamesemwa leo na Mjumbe wa…

Serikali yajiandaa kukabidhi madaraka Kenya

Serikali inayoondoka madarakani imeanza maandalizi ya kuikabidhi madaraka serikali ijayo,huku Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka Kenya (IEBC) ikiendelea na mchakato wa kujumlisha kura . Joseph Kinyua,Mkuu wa huduma za umma amesema wakati wa mkutano wa kamati inayosimamia makabidhiano ya…

Telegramu yaitupia lawama Apple kwa kuicheleweshea huduma

Mkurugenzi Mtendaji na Mwanzilishi wa Telegram, Pavel Durov, ameikaishifu Apple kutokana na mchakato wa kampuni hiyo wa kukagua duka la Programu (Apple Store) “usio wazi” ambao unaichelewesha Telegram kutoa sasisho (ku-“Update”) kwa programu yake ambayo “itabadilisha jinsi watu wanavyojieleza katika…

Balozi Fatma ateta na ujumbe wa Saudi Arabia

Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika ya Mashariki, Balozi Fatma Rajab amekutana kwa mazungumzo na ujumbe wa wataalam kutoka Wizara ya Mazingira, Maji na Kilimo ya Saudi Arabia ambao upo nchini kwa ziara…