JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Watanzania watakiwa kuwa waaminifu

Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia,Dar Balozi wa Tanzania Nchini Saudi Arabia Ali Mwadini amewataka watanzania kuwa waaminifu, katika ufanyaji biashara zinazoenda nje ya nchi.Mwandini amesema kama watanzania wanazingatia kuwa waaminifu katika biashara,ni wazi wataweza kumuhifadhi mteja wa bidhaa lakini ukimfanyia visivyo utampoteza….

Ruto ndiye rais mteule wa Kenya

Mwenyekiti wa Tume ya Uvaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati ametangaza mgombea wa kiti cha urais William Ruto kuwa mteule wa nafasi ya kiti cha uraiswa kupata kura 7,176,141 sawa na asilimia 50.49. Mgombea huyo ambaye amechuana vikali…

Dkt.Abbasi atoa maelekezo kwa BASATA

Katibu Mkuu wa Utamaduni, Sanaa na Michezo, Dkt. Hassan Abbasi ametoa maelekezo mahususi kwa Baraza la Sanaa la Taifa (BASATA) kuelekea tamasha la kihistoria la kuhamasisha Sensa kupitia Sanaa na Michezo (Sensabika). Akizungumza na Vyombo vya Habari leo Agosti 15,…