JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Odinga hatambui matokeo ya urais Kenya

Aliyekuwa mgombea urais wa Kenya, kupitia wa Azimio la Umoja, Raila Odinga Raila, amekataa matokeo ya Uchaguzi Mkuu uliofanyika Agosti 9, 2022, yaliyotangazwa jana na Mwenyekiti wa Tume Huru ya Uchaguzi na Mipaka (IEBC) ya Kenya, Wafula Chebukati. Jana, Chebukati…

Afisa uchaguzi Kenya aliyetoweka apatikana akiwa amefariki

ALIYEKUWA msimamizi wa uchaguzi katika kituo cha kupigia kura katika mji mkuu wa Kenya, Nairobi, amepatikana akiwa amefariki siku chache baada ya familia yake kuripoti kuwa ametoweka, vyombo vya habari vya Kenya vinaripoti. Mwili wa Daniel Mbolu Musyoka umepatikana katika…

Waziri Mkenda aunda timu ufuatiliaji wahitimu kutoka VETA

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Adolf Mkenda,ameunda timu ya Wataalamu ya kufanya utafiti fuatilizi wa wahitimu wa mafunzo ya ufundi kutoka Vyuo vya Ufundi Stadi nchini (VETA), ili kusaidia maboresho ya mitaala nchini. Timu hiyo inaongozwa na Dkt….

Serikali kutumia tafiti kutatua changamoto za jamii

SERIKALI imeanzisha mpango kabambe wa kutumia tafiti zilizofanyika na zinazoendelea kufanyika na wataalamu wa ndani ili kutatua changamoto zilizopo kwenye jamii. Akizungumza katika Uzinduzi wa Kigoda cha Utafiti cha Oliver Tambo (Oliver Tambo Research Chair for Viral Epidemics) uliofanyika katika…

Nane wafariki baada ya kontena kugonga basi

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia,Mbeya Watu nane wamefariki dunia baada ya kontena la mchanga kufeli breki na kuligonga basi la Super Rojas lilikikuwa likitokea Mbeya kwenda Njombe. Kamanda wa Polisi mkoani humo Urlich Matei amethibitisha kutokea tukio hilo leo iliyotokea katika eneo…

Mbarawa asisitiza kiwanja cha ndege Msalato kukamilika mapema

Waziri wa Ujenzi na Uchukuzi, Profesa Makame Mbarawa, amemtaka mkandarasi anayejenga Kiwanja cha Ndege cha Kimataifa cha Msalato kuhakikisha anakamilika kwa wakati na kwa ubora. Ametoa agizo hilo leo jijini Dodoma, alipokuwa akikagua maendeleo ya ujenzi wa kiwanja hicho ambacho…