Author: Jamhuri
Serikali yatangaza mapumziko siku ya Sensa
Waziri Mkuu wa Tanzania, Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameridhia Agosti 23, 2022 kuwa siku ya mapumziko. Lengo ni kuwezesha Watanzania kushiriki Sensa ya Watu na Makazi. Awali ilitangazwa kuwa siku hiyo haitakuwa aya mapumziko
Rais Samia asisitiza matumizi ya lugha ya Kiswahili
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Samia Suluhu Hassan amesisitiza umuhimu wa usalama wa chakula katika ukanda mzima wa Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) na kuzisihi nchi hizo kuwekeza kwenye ‘Uchumi wa Buluu’. Rais Samia amependekeza hayo katika…
Kesi ya mgogoro wa ardhi Pugu Kinyamwezi yarejeshwa Mahakama ya Wilaya
Na Aziza Nangwa,JamhuriMedia,Dar Jaji Mwenegoha wa Mahakama Kuu Divisheni ya Ardhi ameamuru kesi ya mgogoro wa ardhi dhidi ya Frida Kysesi na Shaabani Kapelele ilirudi Baraza la Ardhi la Wilaya kwa ajili ya kusikilizwa. Uamuzi huo ulifikiwa jana baada ya…
Waziri Maryprisca atoa siku saba kwa meneja RUWASA Handeni
Naibu Waziri wa Maji Marry Prisca Mahundi ametoa siku saba kwa Meneja wa RUWASA Wilaya ya Handeni Mhandisi Hosea Joseph kuhakikisha anamsimamia mkandarasi wa Kampuni ya Mponela Dicksona Mwipoo anayetekeleza mradi wa maji katika Kijiji cha Msomera wilayani humo kuhakikisha…