JAMHURI MEDIA

Tunaanzia wanapoishia wengine

Author: Jamhuri

Uzinduzi asasi za kiraia (AZAKI) suluhisho la maendeleo

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia, Dar Imeelezwa kuwa jitihada za makusudi zinazofanywa na Asasi za kiraia katika kuimarisha ushirikiano miongoni mwa wadau mbalimbali wa sekta hiyo zinatambuliwa na sekta binafsi kama sehemu muhimu ya kuharakisha maendeleo ya wananchi na Taifa kwa ujumla….

Prof.Muhongo ahamasisha wananchi kushiriki sensa

Na Fresha Kinasa,JamhuriMedia,Musoma Mbunge wa Jimbo la Musoma Vijijini mkoani Mara,Prof.Sospeter Muhongo ameendelea na zoezi la kampeni la kutoa elimu na hamasa kwa wananchi wa Kisiwani cha Rukuba ili washiriki kwa ufanisi kuhesabiwa katika Sensa ya Watu na Makazi Agosti…

‘Wadau wanavyotabasamu kutembea na Rais
Samia mabadiliko sheria ya habari’

Na Mwandishi Wetu,JamhuriMedia IMEELEZWA kuwa wakati wa mabadiliko ya sheria zinazominya uhuru wa habari nchini ni sasa na kwamba, harakati za kudai mabadiliko ya sheria hizo ilianza siku moja baada ya sheria zilizopo sasa kusainiwa mwaka 2016 na kuanza kutumika….

MV Liemba yatenga bil.8.1/- kwa ujenzi wa meli mpya

Na Abdulrahman Salim,JamhuriMedia Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi Kampuni ya Huduma za Meli (MSCL),Meja Jenerali Mst. John Mbungo amempongeza Rais wa Awamu ya Sita Samia Suluhu Hassan kwa kutenga Shilingi Bilioni 45.1 kwa ajili ya kujenga meli mpya pamoja na…

Mpango amwagiza IGP kuwachukulia hatua askari wanaoharibu taswira ya jeshi

Makamu wa Rais amemuagiza IJP Wambura kuangazia malalamiko yanayotolewa na wananchi kwa Jeshi la Polisi na kuwachukulia hatua askari wachache wanaoharibu taswira ya jeshi hilo Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Philip Mpango amekutana na kufanya…